Pre GE2025 Masheikh 12 waliochiwa na mahakama kutokana na tuhuma za ugaidi Machi 4 wakamatwa tena na kurudishwa gerezani!

Pre GE2025 Masheikh 12 waliochiwa na mahakama kutokana na tuhuma za ugaidi Machi 4 wakamatwa tena na kurudishwa gerezani!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Acheni chuki zenu. Huu ni uhuni wa serikali. Kama ni hatari kwa nini wasingekutwa na hatia na wanakaa tu gerezani? Angalia sana hujui kesho ni nini kinakuja kwako.
Serikali ina vyombo vingi vya kuchunguza
Kuna mashehe wangapi Tanzania kwanini washikiriwe hao tu
Heshimu vyombo vya usalama, wewe unalala ndani unakoroma, wenzetu hawalali wanachunguza
 
Serikali ina vyombo vingi vya kuchunguza
Kuna mashehe wangapi Tanzania kwanini washikiriwe hao tu
Heshimu vyombo vya usalama, wewe unalala ndani unakoroma, wenzetu hawalali wanachunguza
Unajua maana ya division of labour? Vyombo vya usalama vinafanya kazi kama mimi navyofanya kazi ya ukulima au udaktari. Umuhimu wao ni kama wa kazi yangu. Vinatakiwa kufanya kazi kwa kutumia sheria za nchi na siyo uhuni.
 
Kinachoshangaza ni Shura ya Maimamu pekee ndiyo wanapaza sauti. BAKWATA wenyewe wako busy na dua ya kumuombea Mama ili aishi milele.
BAKWATWA wamekwatwa yaani wamekamatwa kwa tende na halua yaani wanaumwa apedomia.Yule Mufti anapenda misosi balaa,lazima alambe viatu vya mama maana bakwata ni tawi la ccm.Mwaka 1968 ilivyoanzishwa serikali ya TANU iligharamia kila kitu.Bwana Nassib alijifisha ndani ya koti la serekali.Bakwata wape msosi tu.
 
Unajua maana ya division of labour? Vyombo vya usalama vinafanya kazi kama mimi navyofanya kazi ya ukulima au udaktari. Umuhimu wao ni kama wa kazi yangu. Vinatakiwa kufanya kazi kwa kutumia sheria za nchi na siyo uhuni.
Uhuni Gani kuwashikiria wahalifu ili wajiridhishe
Wakiachiwa kesho wakailipua kariakoo
Sio kila kitu kitawekwa wazi kwako nyingine zinakuwa taarifa nyeti
 
Wakuu, mambo yameamka huku

====

Jana Machi 4, 2025 Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam chini ya Jaji Kirekiano iliwaachia huru MASHEIKH 12, walio kaa gerezani miaka 10, kwa tuhuma za Ugaidi.

Baada ya hukumu hiyo Shura ya Maimamu Tanzania ilitoa taarifa ya kuachiwa huru Masheikh hao.

Wakati taarifa hiyo ikitolewa Masheikh hao walikua wako chini ya itifaki za watu wa usalama na ndugu walitakiwa kwenda kituo cha Polisi cha stakishari kwaajili ya kukamilisha itifaki hizo.

Hata hivyo majira ya magharibi ndugu walipofika stakishari waliambiwa masheikh hao hawajafikishwa pale.

Aidha leo asubuhi ndipo zilipopatikana taarifa kuwa ndugu Masheikh hao wapo katika gereza la Ukonga walilpokuwapo awali.

Ni wazi baada ya Mahakama kuwaachia huru Masheikh hao, watu wa usalama walitumia mbinu mbalimbali wakafanikiwa kuwakamata tena na kuwafungulia mashtaka mapya bila ya ndugu zao kufahamu.

Kwa hakika tukio hili linadhihirisha jinsi ambavyo serikali iliyopo madarakani isivyojali haki za binadamu. Watu hawa wamekamatwa toka 2015, mpaka leo serikali imeshindwa kuthibitisha tuhuma dhidi yao lakini inaendelea kuwanyima haki za msingi na kuwatesa.

Pia soma: Pre GE2025 - Masheikh 12, waliokaa gerezani miaka 10, kwa tuhuma za Ugaidi waachiwa huru

Katika taarifa ya jana tumeeleza madhila yaliyowakuta baadhi yao ikiwa ni pamoja na kupoteza wenziwao na wengine kufia gerezani.


Hivi viongozi wetu wanashindwa kuvihoji vyombo vyao juu ya matukio haya yaliyo kinyume na sheria na utu.

Hivi inaingia akilini mzee Sleiman Ulatule miaka 90, achukue familia yake ya zaidi ya watu 7, waende kuvamia kituo cha polisi?


Katika wasifu huo watawala watakua na uso gani wa kusimama mbele ya wananchi wakiwemo Waislamu kuwaomba ridhaa ya kuongoza nchi.

Ni zuzu wa kiasi gani atakayewapa ridhaa watawala wasio zingatia haki za binadamu, uhuru na haki za kuishi zinazolindwa na Katiba ya nchi.


Aidha tutumie fursa hii kuwaomba Waislamu wote nchini kutumia fursa hii ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kuomba dua makhsusi na kumkabidhi Mwenyezi Mungu Mtukufu atoe hukumu kwa haya wanayotendewa wanyonge nchini Tanzania.

Atakayeacha kuomba dua hii maana yake ameridhia haya wanayotendewa binadamu wenzake wasio na hatia yoyote.


Shura ya Maimamu Tanzania
Na wale magaidi waliommiminia Lissu risasi wanakamatwa lini?
 
Wakuu, mambo yameamka huku

====

Jana Machi 4, 2025 Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam chini ya Jaji Kirekiano iliwaachia huru MASHEIKH 12, walio kaa gerezani miaka 10, kwa tuhuma za Ugaidi.

Baada ya hukumu hiyo Shura ya Maimamu Tanzania ilitoa taarifa ya kuachiwa huru Masheikh hao.

Wakati taarifa hiyo ikitolewa Masheikh hao walikua wako chini ya itifaki za watu wa usalama na ndugu walitakiwa kwenda kituo cha Polisi cha stakishari kwaajili ya kukamilisha itifaki hizo.

Hata hivyo majira ya magharibi ndugu walipofika stakishari waliambiwa masheikh hao hawajafikishwa pale.

Aidha leo asubuhi ndipo zilipopatikana taarifa kuwa ndugu Masheikh hao wapo katika gereza la Ukonga walilpokuwapo awali.

Ni wazi baada ya Mahakama kuwaachia huru Masheikh hao, watu wa usalama walitumia mbinu mbalimbali wakafanikiwa kuwakamata tena na kuwafungulia mashtaka mapya bila ya ndugu zao kufahamu.

Kwa hakika tukio hili linadhihirisha jinsi ambavyo serikali iliyopo madarakani isivyojali haki za binadamu. Watu hawa wamekamatwa toka 2015, mpaka leo serikali imeshindwa kuthibitisha tuhuma dhidi yao lakini inaendelea kuwanyima haki za msingi na kuwatesa.

Pia soma: Pre GE2025 - Masheikh 12, waliokaa gerezani miaka 10, kwa tuhuma za Ugaidi waachiwa huru

Katika taarifa ya jana tumeeleza madhila yaliyowakuta baadhi yao ikiwa ni pamoja na kupoteza wenziwao na wengine kufia gerezani.


Hivi viongozi wetu wanashindwa kuvihoji vyombo vyao juu ya matukio haya yaliyo kinyume na sheria na utu.

Hivi inaingia akilini mzee Sleiman Ulatule miaka 90, achukue familia yake ya zaidi ya watu 7, waende kuvamia kituo cha polisi?


Katika wasifu huo watawala watakua na uso gani wa kusimama mbele ya wananchi wakiwemo Waislamu kuwaomba ridhaa ya kuongoza nchi.

Ni zuzu wa kiasi gani atakayewapa ridhaa watawala wasio zingatia haki za binadamu, uhuru na haki za kuishi zinazolindwa na Katiba ya nchi.


Aidha tutumie fursa hii kuwaomba Waislamu wote nchini kutumia fursa hii ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kuomba dua makhsusi na kumkabidhi Mwenyezi Mungu Mtukufu atoe hukumu kwa haya wanayotendewa wanyonge nchini Tanzania.

Atakayeacha kuomba dua hii maana yake ameridhia haya wanayotendewa binadamu wenzake wasio na hatia yoyote.


Shura ya Maimamu Tanzania
wanapoua wapinzan mnahisi wapiga kelele ni wehu si mrefu mkiitwa barabarani mtaanza pata akili ya kujumuika
 
Ukiona hivi ujue jamaa ni very dangerous, hawana sababu ya kuwafanyia hivi kama sio imminent threat to national security .
Lazima ni watu hatari hao. Naangalia tu watu wanavyodemka hapa.
Isitoshe Mama si mmoja wao mbona anawatendea hivyo.??? Lazima Kuna vitu vinajulikana.
 
Wakuu, mambo yameamka huku

====

Jana Machi 4, 2025 Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam chini ya Jaji Kirekiano iliwaachia huru MASHEIKH 12, walio kaa gerezani miaka 10, kwa tuhuma za Ugaidi.

Baada ya hukumu hiyo Shura ya Maimamu Tanzania ilitoa taarifa ya kuachiwa huru Masheikh hao.

Wakati taarifa hiyo ikitolewa Masheikh hao walikua wako chini ya itifaki za watu wa usalama na ndugu walitakiwa kwenda kituo cha Polisi cha stakishari kwaajili ya kukamilisha itifaki hizo.

Hata hivyo majira ya magharibi ndugu walipofika stakishari waliambiwa masheikh hao hawajafikishwa pale.

Aidha leo asubuhi ndipo zilipopatikana taarifa kuwa ndugu Masheikh hao wapo katika gereza la Ukonga walilpokuwapo awali.

Ni wazi baada ya Mahakama kuwaachia huru Masheikh hao, watu wa usalama walitumia mbinu mbalimbali wakafanikiwa kuwakamata tena na kuwafungulia mashtaka mapya bila ya ndugu zao kufahamu.

Kwa hakika tukio hili linadhihirisha jinsi ambavyo serikali iliyopo madarakani isivyojali haki za binadamu. Watu hawa wamekamatwa toka 2015, mpaka leo serikali imeshindwa kuthibitisha tuhuma dhidi yao lakini inaendelea kuwanyima haki za msingi na kuwatesa.

Pia soma: Pre GE2025 - Masheikh 12, waliokaa gerezani miaka 10, kwa tuhuma za Ugaidi waachiwa huru

Katika taarifa ya jana tumeeleza madhila yaliyowakuta baadhi yao ikiwa ni pamoja na kupoteza wenziwao na wengine kufia gerezani.


Hivi viongozi wetu wanashindwa kuvihoji vyombo vyao juu ya matukio haya yaliyo kinyume na sheria na utu.

Hivi inaingia akilini mzee Sleiman Ulatule miaka 90, achukue familia yake ya zaidi ya watu 7, waende kuvamia kituo cha polisi?


Katika wasifu huo watawala watakua na uso gani wa kusimama mbele ya wananchi wakiwemo Waislamu kuwaomba ridhaa ya kuongoza nchi.

Ni zuzu wa kiasi gani atakayewapa ridhaa watawala wasio zingatia haki za binadamu, uhuru na haki za kuishi zinazolindwa na Katiba ya nchi.


Aidha tutumie fursa hii kuwaomba Waislamu wote nchini kutumia fursa hii ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kuomba dua makhsusi na kumkabidhi Mwenyezi Mungu Mtukufu atoe hukumu kwa haya wanayotendewa wanyonge nchini Tanzania.

Atakayeacha kuomba dua hii maana yake ameridhia haya wanayotendewa binadamu wenzake wasio na hatia yoyote.


Shura ya Maimamu Tanzania
Magufuli hawakuwahi kuwasingizia lolote Hawa masheikh.

Nyingine hizo ni Siasa za kutaka kuonekana anajali wa Dini yake.

Jamaa Mmoja alikua na Garage Mahali, ni Sheikh , huyu jamaa hakua na wateja sana na alikua anapotea pale Kila mwezi Mmoja anatoka wiki Moja mpaka mbili.

Akawa na Mali za kutosha kwelikweli.


Siku Moja ikaletwa Gari pale matengenezo, Jamaa mwenyewe alikuwepo.

Mida ya saa Saba mchana, zikapaki Gari zénye full tinted , wakashuka watu zaidi ya sita, wenye Bunduki ,walovalia nguo nyeusi Kaunda na mawani ya meusi.

Wakamkata gari zikawashwa ,wakaelekea uwanja wa Ndege, Akapakiwa Ndani ya Ndege na watu hao , wakasepa .


Baadae sana ,Ilikuja gundulika Jamaa alikua na mtandao wa Kigaidi uliokua unafadhiliwa na Magaidi kupitia Dini yake ya UISLAMU.


Sema Nchi yetu, Inasumbuliwa sana na Viongozi wanaoshikamanisha Imani zao na Maisha ya watu .

Hao Masheikh ni Magaidi .
 
Wakuu, mambo yameamka huku

====

Jana Machi 4, 2025 Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam chini ya Jaji Kirekiano iliwaachia huru MASHEIKH 12, walio kaa gerezani miaka 10, kwa tuhuma za Ugaidi.

Baada ya hukumu hiyo Shura ya Maimamu Tanzania ilitoa taarifa ya kuachiwa huru Masheikh hao.

Wakati taarifa hiyo ikitolewa Masheikh hao walikua wako chini ya itifaki za watu wa usalama na ndugu walitakiwa kwenda kituo cha Polisi cha stakishari kwaajili ya kukamilisha itifaki hizo.

Hata hivyo majira ya magharibi ndugu walipofika stakishari waliambiwa masheikh hao hawajafikishwa pale.

Aidha leo asubuhi ndipo zilipopatikana taarifa kuwa ndugu Masheikh hao wapo katika gereza la Ukonga walilpokuwapo awali.

Ni wazi baada ya Mahakama kuwaachia huru Masheikh hao, watu wa usalama walitumia mbinu mbalimbali wakafanikiwa kuwakamata tena na kuwafungulia mashtaka mapya bila ya ndugu zao kufahamu.

Kwa hakika tukio hili linadhihirisha jinsi ambavyo serikali iliyopo madarakani isivyojali haki za binadamu. Watu hawa wamekamatwa toka 2015, mpaka leo serikali imeshindwa kuthibitisha tuhuma dhidi yao lakini inaendelea kuwanyima haki za msingi na kuwatesa.

Pia soma: Pre GE2025 - Masheikh 12, waliokaa gerezani miaka 10, kwa tuhuma za Ugaidi waachiwa huru

Katika taarifa ya jana tumeeleza madhila yaliyowakuta baadhi yao ikiwa ni pamoja na kupoteza wenziwao na wengine kufia gerezani.


Hivi viongozi wetu wanashindwa kuvihoji vyombo vyao juu ya matukio haya yaliyo kinyume na sheria na utu.

Hivi inaingia akilini mzee Sleiman Ulatule miaka 90, achukue familia yake ya zaidi ya watu 7, waende kuvamia kituo cha polisi?


Katika wasifu huo watawala watakua na uso gani wa kusimama mbele ya wananchi wakiwemo Waislamu kuwaomba ridhaa ya kuongoza nchi.

Ni zuzu wa kiasi gani atakayewapa ridhaa watawala wasio zingatia haki za binadamu, uhuru na haki za kuishi zinazolindwa na Katiba ya nchi.


Aidha tutumie fursa hii kuwaomba Waislamu wote nchini kutumia fursa hii ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kuomba dua makhsusi na kumkabidhi Mwenyezi Mungu Mtukufu atoe hukumu kwa haya wanayotendewa wanyonge nchini Tanzania.

Atakayeacha kuomba dua hii maana yake ameridhia haya wanayotendewa binadamu wenzake wasio na hatia yoyote.


Shura ya Maimamu Tanzania
Dah!, imeniuma kama vile ni ndugu zangu wa damu, Inshallah Mungu atawatia adabu wote wanaohusika kupola haki zao hao Watanzania wenzetu, walishakaa jela miaka kumi? nikweli?
 
Acheni chuki zenu. Huu ni uhuni wa serikali. Kama ni hatari kwa nini wasingekutwa na hatia na wanakaa tu gerezani? Angalia sana hujui kesho ni nini kinakuja kwako.
Sasa wewe unaupenda uislam kumzidi Mama Samia Suluhu?
 
Kinachoshangaza ni Shura ya Maimamu pekee ndiyo wanapaza sauti. BAKWATA wenyewe wako busy na dua ya kumuombea Mama ili aishi milele.
Hivi kumbe inawezekana mtu kuishi milele kwa kusifiwa tu ? Kwanini Magu alizikwa ?
 
Wakuu, mambo yameamka huku

====

Jana Machi 4, 2025 Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam chini ya Jaji Kirekiano iliwaachia huru MASHEIKH 12, walio kaa gerezani miaka 10, kwa tuhuma za Ugaidi.

Baada ya hukumu hiyo Shura ya Maimamu Tanzania ilitoa taarifa ya kuachiwa huru Masheikh hao.

Wakati taarifa hiyo ikitolewa Masheikh hao walikua wako chini ya itifaki za watu wa usalama na ndugu walitakiwa kwenda kituo cha Polisi cha stakishari kwaajili ya kukamilisha itifaki hizo.

Hata hivyo majira ya magharibi ndugu walipofika stakishari waliambiwa masheikh hao hawajafikishwa pale.

Aidha leo asubuhi ndipo zilipopatikana taarifa kuwa ndugu Masheikh hao wapo katika gereza la Ukonga walilpokuwapo awali.

Ni wazi baada ya Mahakama kuwaachia huru Masheikh hao, watu wa usalama walitumia mbinu mbalimbali wakafanikiwa kuwakamata tena na kuwafungulia mashtaka mapya bila ya ndugu zao kufahamu.

Kwa hakika tukio hili linadhihirisha jinsi ambavyo serikali iliyopo madarakani isivyojali haki za binadamu. Watu hawa wamekamatwa toka 2015, mpaka leo serikali imeshindwa kuthibitisha tuhuma dhidi yao lakini inaendelea kuwanyima haki za msingi na kuwatesa.

Pia soma: Pre GE2025 - Masheikh 12, waliokaa gerezani miaka 10, kwa tuhuma za Ugaidi waachiwa huru

Katika taarifa ya jana tumeeleza madhila yaliyowakuta baadhi yao ikiwa ni pamoja na kupoteza wenziwao na wengine kufia gerezani.


Hivi viongozi wetu wanashindwa kuvihoji vyombo vyao juu ya matukio haya yaliyo kinyume na sheria na utu.

Hivi inaingia akilini mzee Sleiman Ulatule miaka 90, achukue familia yake ya zaidi ya watu 7, waende kuvamia kituo cha polisi?


Katika wasifu huo watawala watakua na uso gani wa kusimama mbele ya wananchi wakiwemo Waislamu kuwaomba ridhaa ya kuongoza nchi.

Ni zuzu wa kiasi gani atakayewapa ridhaa watawala wasio zingatia haki za binadamu, uhuru na haki za kuishi zinazolindwa na Katiba ya nchi.


Aidha tutumie fursa hii kuwaomba Waislamu wote nchini kutumia fursa hii ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kuomba dua makhsusi na kumkabidhi Mwenyezi Mungu Mtukufu atoe hukumu kwa haya wanayotendewa wanyonge nchini Tanzania.

Atakayeacha kuomba dua hii maana yake ameridhia haya wanayotendewa binadamu wenzake wasio na hatia yoyote.


Shura ya Maimamu Tanzania
Magaidi hayo,serikali sio wajinga kuwashikiria tena.

Ili kupunguza hoja na kelele kama hizi magidi yanatakiwa ya malizwe kimya kimya tu.

Ili kuondoa kero za wafia dini na wapenda ugaidi kulialia mitandaoni
 
Wakuu, mambo yameamka huku

====

Jana Machi 4, 2025 Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam chini ya Jaji Kirekiano iliwaachia huru MASHEIKH 12, walio kaa gerezani miaka 10, kwa tuhuma za Ugaidi.

Baada ya hukumu hiyo Shura ya Maimamu Tanzania ilitoa taarifa ya kuachiwa huru Masheikh hao.

Wakati taarifa hiyo ikitolewa Masheikh hao walikua wako chini ya itifaki za watu wa usalama na ndugu walitakiwa kwenda kituo cha Polisi cha stakishari kwaajili ya kukamilisha itifaki hizo.

Hata hivyo majira ya magharibi ndugu walipofika stakishari waliambiwa masheikh hao hawajafikishwa pale.

Aidha leo asubuhi ndipo zilipopatikana taarifa kuwa ndugu Masheikh hao wapo katika gereza la Ukonga walilpokuwapo awali.

Ni wazi baada ya Mahakama kuwaachia huru Masheikh hao, watu wa usalama walitumia mbinu mbalimbali wakafanikiwa kuwakamata tena na kuwafungulia mashtaka mapya bila ya ndugu zao kufahamu.

Kwa hakika tukio hili linadhihirisha jinsi ambavyo serikali iliyopo madarakani isivyojali haki za binadamu. Watu hawa wamekamatwa toka 2015, mpaka leo serikali imeshindwa kuthibitisha tuhuma dhidi yao lakini inaendelea kuwanyima haki za msingi na kuwatesa.

Pia soma: Pre GE2025 - Masheikh 12, waliokaa gerezani miaka 10, kwa tuhuma za Ugaidi waachiwa huru

Katika taarifa ya jana tumeeleza madhila yaliyowakuta baadhi yao ikiwa ni pamoja na kupoteza wenziwao na wengine kufia gerezani.


Hivi viongozi wetu wanashindwa kuvihoji vyombo vyao juu ya matukio haya yaliyo kinyume na sheria na utu.

Hivi inaingia akilini mzee Sleiman Ulatule miaka 90, achukue familia yake ya zaidi ya watu 7, waende kuvamia kituo cha polisi?


Katika wasifu huo watawala watakua na uso gani wa kusimama mbele ya wananchi wakiwemo Waislamu kuwaomba ridhaa ya kuongoza nchi.

Ni zuzu wa kiasi gani atakayewapa ridhaa watawala wasio zingatia haki za binadamu, uhuru na haki za kuishi zinazolindwa na Katiba ya nchi.


Aidha tutumie fursa hii kuwaomba Waislamu wote nchini kutumia fursa hii ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kuomba dua makhsusi na kumkabidhi Mwenyezi Mungu Mtukufu atoe hukumu kwa haya wanayotendewa wanyonge nchini Tanzania.

Atakayeacha kuomba dua hii maana yake ameridhia haya wanayotendewa binadamu wenzake wasio na hatia yoyote.


Shura ya Maimamu Tanzania


Nawashauri nyie Shura ya Maimamu Muungane na wale Watu wanaopigania Mabadiliko ya Katiba ya nchi pamoja na Sheria nyinginezo ili kuweza kujenga Mazingira ya kuwepo kwa HAKI na Demokrasia kwa Watu wote kabisa katika Jamii. Hili ni jambo la muhimu sana kulipigania!

Endapo kama Katiba mbaya itaondoka, na endapo kama Sheria kandamizi zitaondoka, basi DHULUMA kubwa Kama hizi za kuwafunga Watu gerezani bila ya uhalali wowote wa kisheria zitaondoka.
 
Magaidi hayo,serikali sio wajinga kuwashikiria tena.

Ili kupunguza hoja na kelele kama hizi magidi yanatakiwa ya malizwe kimya kimya tu.

Ili kuondoa kero za wafia dini na wapenda ugaidi kulialia mitandaoni

Ni kweli kabisa kwamba Ugaidi ni jambo baya sana kwa Usalama wa Watu, lakini tuhuma kama hizi zinapaswa kuchukuliwa kwa uangalifu mkubwa sana ili kuweza kuepuka kuwaumiza Watu wengine wasiohusika. Ni lazima Mamlaka za Uchunguzi zijiepushe na masuala ya Kubambikia Watu Kesi au kuwatuhumu Watu kwa tuhuma hizi pasipo kuwa na Ushahidi usioavha shaka
 
Back
Top Bottom