Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kwahiyo wao wakitenda dhambi na wewe unatakiwa utende dhambi na huku unajifanya mtenda haki?kwani kikwete na karume walikuwa hawaendi misikitini? na ndiyo waliwakamata walikuwa wanamuomba mungu yupi wao ambao unaona ni watakatifu?
kwani kikwete na karume walikuwa hawaendi misikitini? na ndiyo waliwakamata walikuwa wanamuomba mungu yupi wao ambao unaona ni watakatifu?
Ukiwauliza kuhusu aliye wakamata hawachangii,karume na kikwete,,,kwani kikwete na karume walikuwa hawaendi misikitini? na ndiyo waliwakamata walikuwa wanamuomba mungu yupi wao ambao unaona ni watakatifu?
SASA YEYE DHAMBI GANI ANAFANYA SI VINAVYOHUSIKA HAPO NI VYOMBO VYA USALAMA SIYO YEYE TENAKwahiyo wao wakitenda dhambi na wewe unatakiwa utende dhambi na huku unajifanya mtenda haki?
wana kwepa hilo suala wanamuangushia jpm ila wenzao wanashindwa kueleza kwanini hawakuwasaidiaUkiwauliza kuhusu aliye wakamata hawachangii,karume na kikwete,,,
Viko chini ya nani?SASA YEYE DHAMBI GANI ANAFANYA SI VINAVYOHUSIKA HAPO NI VYOMBO VYA USALAMA SIYO YEYE TENA
hawezi kuingilia mhimili wa mahakamaViko chini ya nani?
Kwenye suala la mashehe JPM wamuache kabisaa...wana kwepa hilo suala wanamuangushia jpm ila wenzao wanashindwa kueleza kwanini hawakuwasaidia
wamwace kabisahahusiki hata kidogo wawaulize waleeeee
Unajielewa kweli? hao mashehe hawajafikishwa mahakamani bado wapo chini ya police, pia ni watu wangapi uhujumu uchumi wameachiwa kabla ya kufikishwa mahakamani?hawezi kuingilia mhimili wa mahakama
Walikamatwa na Mkapa?Dua lao limesikiwa watakuwa huru.Mkapa hayupo commando ndo hivyo kapigwa upofu.
wahujumu uchumi wanabagain wanalipa pesa hawa magaidi watbagain walipe damu za watu? hao kuwatoa nikuanza upya kwa vitendo vya kigaidi tena watatoka na ahasira nyingi ndiyo watanunua mpipa ya tindikali kabisaUnajielewa kweli? hao mashehe hawajafikishwa mahakamani bado wapo chini ya police, pia ni watu wangapi uhujumu uchumi wameachiwa kabla ya kufikishwa mahakamani?
Hiyo ID yako inatosha kuonyesha na bishana na nani?wahujumu uchumi wanabagain wanalipa pesa hawa magaidi watbagain walipe damu za watu? hao kuwatoa nikuanza upya kwa vitendo vya kigaidi tena watatoka na ahasira nyingi ndiyo watanunua mpipa ya tindikali kabisa
Uhujumu si kama madai tu sasa madai ni jinai? Utafananisha aliyeingilia uchumi katika harakati za kujikomboa kiuchumi na anayepanga kuondoa uhai wa watu?wahujumu uchumi wanabagain wanalipa pesa hawa magaidi watbagain walipe damu za watu? hao kuwatoa nikuanza upya kwa vitendo vya kigaidi tena watatoka na ahasira nyingi ndiyo watanunua mpipa ya tindikali kabisa
Ingekuwa baba ako yupo ndani usingeongea huu utumbo
MkateNajiuliza lini Mufti Zuberi na mwana ccn kindaki " Shehe wa Dar Alhad kama waliwahi kuulizia jambo hili.
Msukuma wa "mabaka" amegoma.Tuombe Allah muda si mwingi Bi: Samia atakapo kuwa up to the top ili suala litaisha. Tuseme inshanlah!