Masheikh kurundikwa Magereza bila kufunguliwa kesi Mahakamani nchini Tanzania, nini hatma yake?

Masheikh kurundikwa Magereza bila kufunguliwa kesi Mahakamani nchini Tanzania, nini hatma yake?

kwani kikwete na karume walikuwa hawaendi misikitini? na ndiyo waliwakamata walikuwa wanamuomba mungu yupi wao ambao unaona ni watakatifu?
Kwahiyo wao wakitenda dhambi na wewe unatakiwa utende dhambi na huku unajifanya mtenda haki?
kwani kikwete na karume walikuwa hawaendi misikitini? na ndiyo waliwakamata walikuwa wanamuomba mungu yupi wao ambao unaona ni watakatifu?
 
Alianza na Mashekhe akaja kwa Chadema na sasa naona muelekeo unavyoonyesha hata mapadre hawatakuwa salama mwishoni CCM wenzake wataanza kuikimbia nchi
 
Kwahiyo wao wakitenda dhambi na wewe unatakiwa utende dhambi na huku unajifanya mtenda haki?
SASA YEYE DHAMBI GANI ANAFANYA SI VINAVYOHUSIKA HAPO NI VYOMBO VYA USALAMA SIYO YEYE TENA
 
Japo siungi mkono vitendo vya kigaidi..lakini haki ni lazima itendeke kwa hawa masheikh wa uamsho...umesema kuwa Obama ni muislam sio kweli...na hili yeye mwenyewe alishatolea ufafanuzi, kuhusu kulipuliwa vituo vay polisi na mambo ya kibiti...yalitokea wakati hawa Masheikh wakiwa tayari mahabusu na hakuna ushahidi kuwa walihusika..kuhusu yule gaidi Mzanzibar alishatolewa siku nyinyi kule Guantenamo bay an alifikishwa mahakamani kule Marekani...so pamoja na vita kali dhidi ya Ugaidi,bado Marekani pia wanaheshimu haki ya hawa "magaidi" kuhukumiwa kwa haki za kimahakama!
 
Unajielewa kweli? hao mashehe hawajafikishwa mahakamani bado wapo chini ya police, pia ni watu wangapi uhujumu uchumi wameachiwa kabla ya kufikishwa mahakamani?
wahujumu uchumi wanabagain wanalipa pesa hawa magaidi watbagain walipe damu za watu? hao kuwatoa nikuanza upya kwa vitendo vya kigaidi tena watatoka na ahasira nyingi ndiyo watanunua mpipa ya tindikali kabisa
 
wahujumu uchumi wanabagain wanalipa pesa hawa magaidi watbagain walipe damu za watu? hao kuwatoa nikuanza upya kwa vitendo vya kigaidi tena watatoka na ahasira nyingi ndiyo watanunua mpipa ya tindikali kabisa
Hiyo ID yako inatosha kuonyesha na bishana na nani?
 
Hivi hawa masheikh waliwekwa ndani kipindi cha tano au awamu ya nne.
Mbona unamshutumu ambaye sue aliye waweka ndani, au kwa kuwa sio wa upande wako
 
wahujumu uchumi wanabagain wanalipa pesa hawa magaidi watbagain walipe damu za watu? hao kuwatoa nikuanza upya kwa vitendo vya kigaidi tena watatoka na ahasira nyingi ndiyo watanunua mpipa ya tindikali kabisa
Uhujumu si kama madai tu sasa madai ni jinai? Utafananisha aliyeingilia uchumi katika harakati za kujikomboa kiuchumi na anayepanga kuondoa uhai wa watu?

Tulieni dawa iwaingie
 
Ingekuwa baba ako yupo ndani usingeongea huu utumbo

Unadhani hayupo ndani kwa sababu ya bahati? I am really grateful that God didn’t give me a father who would just impose his religious beliefs on other people!

Hao walioko ndani walikuwa nayo hiari ya kueneza imani yao kwa amani kama mamilioni wengine wafanyavyo, lakini wao wakachagua terrorism, instead!

Iron-fist rule kama ile ya Saddam Hussein na Muamar Qaddafi ndio effective approach katika vita dhidi ya terrorism. Enzi zao hawa mabwana, terrorism katika nchi zao ilidhibitiwa vizuri sana.
 
Najiuliza lini Mufti Zuberi na mwana ccn kindaki " Shehe wa Dar Alhad kama waliwahi kuulizia jambo hili.
Mkate
Tatizo mkate
Mkate tuuu watu mpaka wanajidhalilisha kwa sababu ya mkate, watu wanasaliti misimamo ya imani zao kwa sababu ya mkate
Huu mkate huu utatuua
 
Back
Top Bottom