Huyo dikteta ni yupi unaye mzungumzia nahisi utakuwa unamzungumzia JPM lakini walikamatwa wakati wa kikwete.
Amini samia ameweka udini katika hili
Wamekamatwa Zanzibar na rais mzanzibari na sasa wameachiwa na rais mzanzibari pia.
 
Mtalalamika sana, Mwenye Mpini sahivi mzanzibari Tanzania na Zanzibar.
 
Wamekamatwa Zanzibar na rais mzanzibari na sasa wameachiwa na rais mzanzibari pia.
roho inawauma. Wakati ule waliona Cuf imewakaba koo mkaamua kubambikia kesi watu. Hata hivyo CUF iliendelea kuwagaragaza
 
Huyu DPP wa sasa amewezaje?

These guys the so called UAMSHO hao DPP wengine walikwama wapi kumaliza Kesi zao?

Nakumbuka Prof Kabudi alishawahi kuliambia Bunge kuwa jamaa Wana "Kesi NZITO SANA" enzi za Mwendazake hizo
headless chicken wafuasi wa mwendazake
 
roho inawauma. Wakati ule waliona Cuf imewakaba koo mkaamua kubambikia kesi watu. Hata hivyo CUF iliendelea kuwagaragaza
Aliyewakamata ni Shein na kumletea Kikwete, sasa kama roho kuuma labda Kikwete maana nasikia alivyoachiwa Babu Seya yeye alimaind na sasa masheikh wameachiwa.
 
Aliyewakamata ni Shein na kumletea Kikwete, sasa kama roho kuuma labda Kikwete maana nasikia alivyoachiwa Babu Seya yeye alimaind na sasa masheikh wameachiwa.
chama kile kile shein alishinikizwa. Tishio la CUF na maalimu Seif ndio chanzo cha yote.
 
Hv kuhoji muungano ni kueneza chuki co????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…