Masheikh wa Uamsho wafutiwa kesi, warejea uraiani
Raisi Samia Suluhu anafuata Sheria, ninyi mlozowea vya kunyonga vya kuchinja hamviwezi, ni zamu yenu sasa mutafute Nchi inayotawaliwa na Dikteta muhamie na Magodoro yenu.
Huyo dikteta ni yupi unaye mzungumzia nahisi utakuwa unamzungumzia JPM lakini walikamatwa wakati wa kikwete.
Amini samia ameweka udini katika hili
 
Hiyo ni hatua njema kuwa dawa inayaingia vyema majahili.

Na bado!
Kumwagia watu tindikali,kuchoma makanisa na kuwawa kwa yule padre hiyo dini yenu ndivyo inavyofundisha
samia ameonyesha udini wa wazi
 
Kumbe Kikwete naye alikuwa na fitina? Au ulifikiri walifungwa na JPM?😀😀😀
Alikuwa hana jinsi, vuguvugu la Uamsho lilikuwa rahisi kuingiliwa na Vikundi vya Kigaidi kwa mfano angalia Msumbiji kulikuwa na Vuguvugu la Wananchi wa Cabo Delgado kuhusu Gesi yao, Magaidi walilitumia lile Vuguvugu na sasa hawadai tena mgao wa gesi na Ajira, bali wanasema wanataka kusimamisha Dola ya Kiisilamu katika Msumbiji.

Vuguvugu la Uamsho lingeweza kutumika kwa urahisi sana kwa hiyo likazimwa na Kikwete ila adhabu waliopewa Mashekhe wetu wa Uamsho ilikuwa ni kubwa sana.
 
Seth Habinder katoka, na kuna afisaa mwingine katoka leo, sasa kama Raisi Samia ni mdini tu,Then get lost hili jukwaa sio la kusambaza CHUKI za kutugawa Watanzania.
 
Kumwagia watu tindikali,kuchoma makanisa na kuwawa kwa yule padre hiyo dini yenu ndivyo inavyofundisha
samia ameonyesha udini wa wazi

Dini yetu ipi mburula wewe?

Ushahidi mkishindwa kuwasilisha kinachobakia ni majungu na fitna tu.

Wacheni majungu acheni haki kutamalaki!

"Viva mama Samia Suluhu. Tuko nawe. Kwa mwendo huu. Mitano tena ya haki itakuhusu.
 
Ushahidi mkishindwa kuwasilisha kinachobakia ni majungu na fitna tu.
Hasidi hakosi sababu.
susp.png
 
Dini yetu ipi mburula wewe?

Ushahidi mkishindwa kuwasilisha kinachobakia ni majungu na fitna tu.

Wacheni majungu acheni haki kutamalaki!

"Viva mama Samia Suluhu. Tuko nawe. Kwa mwendo huu. Mitano tena ya haki itakuhusu.
Mitano ipi tena wewe mbugila
 
Mitano ipi tena wewe mbugila
"Mbugila" ndiyo nini kwenye ile lugha ya lile genge?

Mitano tena, tena ya haki itamhusu mama kama ataendelea kukaza uzi hapa kwenye haki, ambapo katiba mpya ni moja ya takwa lililo la msingi zaidi kuhusu haki.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
unakata mashehe hawakutenda sababu mahakama imewachia kwa msukumo wa kidini toka juu kabisa
Chadema, Tundu Lissu,Mbowe,Maria Sarungi na wengine wengi ambao sio Waisilamu walikuwa wanapiga kelele hata kwa Mwendazake ili Mashekhe wa Uamsho na wale wengine waliosondekwa kwenye Gereza la Arusha waachiwe Huru.

Huo udini wa Raisi Samia umetoka wapi? wewe ndio unataka kufanya kuwa ni Issue ya Dini.
 
unakata mashehe hawakutenda sababu mahakama imewachia kwa msukumo wa kidini toka juu kabisa
👇


Kwahiyo Raisi Samia pia ni Singasinga?
 
👇


Kwahiyo Raisi Samia pia ni Singasinga?
Bora hata huyo katika 100 aliyochukua amerudisha 2 kuliko hawa magaidi walioshinda waliyoyatenda kwa msukumo wa samia
 
Back
Top Bottom