imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Kijana usinitafutie Ban, unajuwa naweza kukuzaa wewe.kwani jpm alikulawiti!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kijana usinitafutie Ban, unajuwa naweza kukuzaa wewe.kwani jpm alikulawiti!!!
Naamini Mdude CHADEMA atakuwa keshakoma na amejifunza.Mama Samia Suluhu kaamua kuacha fitina!
Mdude CHADEMA naye atakuwa huru soon!
Kile ni Chuma ametekwa mara nyingi na Magufuli lakini wapi amekomaa Mdude.Naamini Mdude CHADEMA atakuwa keshakoma na amejifunza.
tatizo upuuzi wako ni kama moshi,unatufikia na sisi humu jukwaani japo hatuutaki.Jali yako bana hunijui sikujui
Inaonekanakwa hiyo wameachiwa kwa sababu ya dini zao?
tatizo upuuzi wako ni kama moshi,unatufikia na sisi humu jukwaani japo hatuutaki.
Hili ni Jukwaa huru sio kikao cha CCMhumu jukwaani
Wakatulie sasa watakuwa wamejifunza. Wakianza tena tutawachukua tena.
Si mjitenge basi kama mna hiyo jeuri!Mavi ya kuku
😂😂😂😂😂😂😂
Eti??!Nyamazisha bakuli hilo.
Si mlisema wanatakiwa wasitoke milele????
Tuacheni tunaandaa sherehe maalum Zanzibar huku.
Samia ni mdini.ni Rais wa hovyo kuwahi kutokea.shame!Hivi watu hawa walivyo wapiga watu risasi, wakawamwagia mapadri na watalii tindikali leo hii wanaachiwa bila hata case kumalizwa haraka......
Nafikir kwenye hili dini imehusika na wala si swala la ushahidi
Hapo ni: 15 - 7= 8Mtu anakaa gerezani miaka sita mfano kesi ikiwa anaendelea mwaka wa saba anapewa hukumu ya kufungwa miaka 15 jela(mfano)..je kuna fidia ya ile miaka sita aliyo kaa kabla ya hukumu?
~Karibuni
Majuto gani tena jamani????Lipo jambo
Wakati mwingi sherehe hugeuka vilio
Ni swala la muda mtagundua jambo
Majuto atakuwa mjukuu
Mtashangazwa
Endeleeni kupiga makofi
uamsho kwanza
Wapinzani mtasubiri sana
Umechelewa mkuu. There was a room for you kwenda kutoa ushahidi.Sijafurahishwa na hii habari nitakata rufaa. Magaidi hawawezi kuwa sehemu yetu hata siku moja
What is the good idea???This is a really very bad idea!
AmenEee..!.Mungu Baba Mwenyezi twakuomba uliepushe taifa letu lisije tena likapata watawala dhalimu kama jiwe milele na milele sio leo,kesho na hata vizazi vyetu vijavyo.
Nafunga katika Jina la YESU jina kuu kuliko majina yote.Nikiomba na kuamini hakika hakuna kiongozi dhalimu tena ataketokea katika taifa hili katika Jina la YESU Kristo ulie hai.! Nateketeza kwa moto ulao !
roho zote chafu za viongozi kama Sabaya bashite zisiinuke tena katika taifa hili milele na milele.Tukiomba na kuamini.Na KILA mmoja na aseme.Amee...ni !
Hakika mkuu.Hakika wote walioonewa na Yule mwovu bila kuangalia vyama na udini wawe huru. Tujenge nchi wote Kwa upendo kila mmoja na mchango wake.
Watakuwa mkuu.Bado waliopo Mahabusu kwa makosa ya Kisiasa nao tunatamani kusikia wakiwa Huru