avogadro
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 8,082
- 14,457
Nadhani kama ulishazaliwa kipindi cha 2012 na kuendelea utakuwa umeshuhudia mateso waliopata bainaadam na vifo kupitia vuguvugu za lililoanzishwa na hao jamaa, lakini kama utaona waliopata madhar walikuwa ni kunguni tuu na sii bunadamu utona poa tu wakiwa uraiani wakate waliowasababishia wanaozea makaburiniMkuu, huoni kama ilitakiwa kama walifanya hayo kesi yao isikilizwe na iishe badala ya kuwekwa kizuizini miaka nenda rudi?!?