Masheikh wa Uamsho wafutiwa kesi, warejea uraiani
chuki zingine huwaga zinamtoa mtu akili nakuwa kama anawaza kwa kutumia makalio sasa jpm ndiyo aliwafunga? kama ni dini aliyewafunga ni wakwao uwe unafikiria kwanza uuache mihemko
Mkuu ila na yeye hajasema kwamba JPM ndio aliwafunga
 
Jiwe alimsamehe babu seya , wakati babu seya alishahukumiwa na mahakama. Hawa masheikh hata hiyo kesi ya kujibu hakuna. NI dhuluma kwenda mbele na serikali hii ya uvamizi ya Laanatullahi Nyerere na warithi wake
Magufuli alipomtoa Babu seya wapo waliyofurahia na wapo waliyomlaumu kwa hilo jambo, na hili la masheikh wa uamsho wapo waliyokuwa wakiona kuwa masheikh wanaonewa na wapo wanaoona ni sahihi kuendelea kushikiliwa kwa hoja kwamba walikuwa sababu ya vurugu na uhalifu huko Zanzibar hivyo kukamatwa kwao ndio amani ilipatikana.
 
Magufuli alipomtoa Babu seya wapo waliyofurahia na wapo waliyomlaumu kwa hilo jambo, na hili la masheikh wa uamsho wapo waliyokuwa wakiona kuwa masheikh wanaonewa na wapo wanaoona ni sahihi kuendelea kushikiliwa kwa hoja kwamba walikuwa sababu ya vurugu na uhalifu huko Zanzibar hivyo kukamatwa kwao ndio amani ilipatikana.

Kama unavyosema wewe kuwa amani ilipatikana , ulikuwa wapi ukashindwa kupeleka ushahidi mahakamani juu ya vitendo vyao ? Mbona unapakazia tu??

Hivi amani ndiyo ile ya kupigwa watu wakati wa uchaguzi na kuuliwa huku yakiletwa majeshi ya kukodi kutoka Burundi kupiga watu ?
 
Suppose Mama Samia ni muovu. Tufanye anapendelea, bible inatufundisha waive tuwaombee. Wewe nakwambia tumuombee Mheshimiwa rais wewe unaniambia tumuombee Sisi tu kwa maana hutaki kumuombea. Kwa style hiyo ni lazima niwe na mashaka kama kweli wewe ni Mtanzania.

Kuhusu hao wengine walioachwa ambao wewe unawajua sana hebu tutajie na Sisi tutafanya jitihada kufikisha majina yao kwa DPP ili nao kesi zao zishughulikiwe kwa haraka.

Usituletee tu umbea umbea tuletee majina na mimi binafsi nakuahidi through my own ways ntajitahidi kama mwananchi kupaza sauti yangu wapate haki zao.
Ni umbea kwamba huko jela kuna watu wengine ambao nao wameshikiliwa huko isivyo haki? kwamba ni hao masheikh tu ndio hawakuwa wakitendewa haki?

Hebu nielezee una maana gani unaposema umbea?
 
Kama unavyosema wewe kuwa amani ilipatikana ulikuwa wapi ukashindwa kupeleka ushahidi mahakamani juu ya vitendo vyao ? Mbona unapakazia tu??

Hivi amani ndiyo ile ya kupigwa watu wakati wa uchaguzi na kuuliwa huku yakiletwa majeshi ya kukodi kutoka Burundi kupiga watu ?
Sio mimi nilichofanya hapo ni kueleza hoja za pande zote mbili.
 
Nadhani kama ulishazaliwa kipindi cha 2012 na kuendelea utakuwa umeshuhudia mateso waliopata bainaadam na vifo kupitia vuguvugu za lililoanzishwa na hao jamaa, lakini kama utaona waliopata madhar walikuwa ni kunguni tuu na sii bunadamu utona poa tu wakiwa uraiani wakate waliowasababishia wanaozea makaburini
Mbona mgumu wa kuelewa. Tanzania ni nchi yenye sheria zake ambazo zinatakiwa kufuatwa. Hamna suala la kumuona mtu fulani ni kunguni. Kila anayefanya kosa sheria zitumike kama katiba inavyoelekeza.
By the way, 2012 mvi zilishaanza kwa mbali.
 
Mkuu DPP amesema waachiwa maana hawana hatia.

Sio kama mkuu, mbona unafeli kizembe??

Mkuu umesahau maneno aliyowahi kusema Mh Mwendazake Samwel sitta? Alisema mambo ya sheria unaweza ukauua mtu na kisu ukapata mwanasheria mzuri wa kukutetea ukaachiwa huru ,hoja yangu ya msingi sio kuachiwa bali kama hawakutenda hayo mambo ya ugaidi kama ni kweli....Unaweza ukaachiwa huru lakini ukawa umetenda ugaidi.

Ni kama Babu seya rufaa zao zote ziligonga mwamba kwamba walikuwa na hatia ya ubakaji lakini wao kama wao walisema hawkutenda ila JPM alivyokuwa aliwatoa,je ni kweli walibaka kama mahakama ilivyosema au hawajabaka ndio maana JPM aliwaaachia? Ukweli wanaujua wao.

Mtuhumiwa ndio anajua ukweli 100% kama alitenda kweli au lah regardless maamuzi ya mahakama ,kushinda au kushindwa mahakamani kuna mambo mengi....si uliona mwanzoni sabaya alikamatwa na vitambulisho feki vya TISS lakini DPP akasema hana nia ya kuendelea na kesi,je ukikamtwa wewe mwenzangu na mimi kwa kesi kama hiyo DPP atasema hivyo hivyo kwa precedent.
 
Ole wa wakristo mkaao Zanzibar maana wamwaga tindikali wamerudi,je wataendelea kuua mapadri na kuwamwagia tindikali wakristo,yangu macho.
 
Nakuona Roho inavyokuuma kwa Mashekhe wa Uamsho kuachiwa huru.
labda kama huna akili kutojua aina ya uhalifu waliokuwa wakiufanya.

kutoka ni jambo jema,ila kuacha harakati zao za kichadema ni jambo jema zaidi kwa nchi nzima.
 
Back
Top Bottom