mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
kwani jiwe ndiye aliwafunga wewe kahaba!!!Mashekhe wamerudi uraiani. Jiwe yuko kuzimu anaoza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani jiwe ndiye aliwafunga wewe kahaba!!!Mashekhe wamerudi uraiani. Jiwe yuko kuzimu anaoza.
Machogo mna tabu sana hahahahahaha.Endeleeni tena kuwamwagia tindikali Watanganyika wenzetu na Wakristu waishio huko Zanzibar halafu muone tutakacho wafanya.
Kama hamtaki Muungano tafuteni njia sahihi a kuukataa! Na siyo kuwaumiza raia wasio na hatia.
Atake asitake maadamu anatenda haki ataishi miaka mingi kama Kikwete na Mwinyi.unabarikiwa duniani na mbinguni unabarikiwa tena! Tuseme Amina!Mama tutamlazimisha akae miaka yote mpaka achoke.
Maskini machozi ya yule padre aliyemwagiwa tindikali, yule shehe mwenye asili ya tanga aliyemwagiwa tindikali, yule polisi aliyechinjwa hapo mwanakwwrekwe, wataliinwaliokuwa wanamwagiwa tindikali, makanisa yaliyokuwa yanachomwa , bar, pamoja na mabucha ya kitimoto[emoji2297][emoji2297]
Ipo point tena kwenye uzi huu huu nimesema JK na yeye analo lawama lake kama baba yako Magu. Wote wawili.Mwache Magufuli peleka udini wako huko! Humtaji JK umekomaa na kumtukana JPM, mdini sana wewe au kwa vile JPM mkristo ndo maana unamtukana hapa? Not fear.
Wacha kutisha watu wewe.We mbwa chunga maneno yako. Usijiingize kwenye mtego haupo salama kama unavyozani.
Hayo unasema wewe.Ndio hivyo maana ye ndio rais kivuli
Wakatulie sasa watakuwa wamejifunza. Wakianza tena tutawachukua tena.
Mkuu wapo CCM wengi tu ambao tunawajua/tunajijua kwamba walikuwa wakikataa uonevu huu. Baadhi walizisaidia hata familia za Masheikh juu ya mambo mbali mbali
Mavi ya kukuHuu ni wakati wenu muafaka wa kujitenga na Tanganyika. Mtumieni Mzanzibar mwenzenu kufanikisha jambo hilo.
Binafsi naamini hata Zanzibar ikijitenga kesho, Tanganyika haina cha kupoteza! Zaidi mapato yetu yataongezeka! Maana tutaanza kuwatoza wengi wenu mnaoishi Tanganyika vibali vya kufanya kazi na kidi nyingine mbalimbali.
Maskini machozi ya yule padre aliyemwagiwa tindikali, yule shehe mwenye asili ya tanga aliyemwagiwa tindikali, yule polisi aliyechinjwa hapo mwanakwwrekwe, wataliinwaliokuwa wanamwagiwa tindikali, makanisa yaliyokuwa yanachomwa , bar, pamoja na mabucha ya kitimoto🙆♂️🙆♂️
Ni kweli mkuu...Sheikh Ponda na Tundu Lissu walipanda jukwaani na walihimiza bila uoga kwamba Mashekhe wa Uamsho waachiwe.
..Iko siku Watz watautambua mchango wa Lissu kama mtetezi wa wanyonge na walionyimwa haki nchi hii.
..Na linapokuja suala la HAKI Lissu huwa habagui rangi, kabila, chama, au dini.
Mkawashauri sasa hao Masheikh wenzenu waishi kama dini yenu inavyotaka. Yale masuala ya kuhamasisha vurugu, utengano kwa kuwaumiza watu wasio na hatia, kumwagia watu wa imani tofauti tindikali, nk. Yalikuwa yanakiuka kabisa uvumilivu wa kiimani.
Tusimtusi, Hakika nae amefanya juhudi Tangu Mh JPM akiwa hai lakini ndio makadara yake jalali akaendazake muheshimiwa, kiukweli hata kina malasusa wanamchango waoNdio maana yule shehe ubwabwa mmoja jana akajifanya naye anataka mashehe waachiwe.
Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
Na tangu hawa watu wahifadhiwe, hali ilikuwa shwari.
Magaidi wa msumbiji viongozi wake wengine wanatoke a Tanzania.
Leo hii, yanatukuta tena Watanzania.
Mungu Irehemu nchi ya Tanzania, maana bila Rehema ya Mungu kinachofuata ni kilio na kusaga meno.
Wenyewe wazanzibari wanasema kwa mateso waliyopitia na wanayopitia hawana udugu na nyinyi. Ndugu zako hawawezi wakakufanyia hila mbaya namna hii.Halafu binadamu hatuna shukurani kabisa .Ukiangalia swala la muungano ni wazanzibari kwa kiasi kukubwa ndo wananufaika na huu muungano lakini eti hawautaki.wana haki ya kumiliki Aridhi ,kupata uongezi huku bara lakini ajabu bado wanadai wanaonewa.hii n ajabu kabisa na inabidi wajitafakali waache unafiki na kudeka.haikubaliki kabisa.Sisi ni ndugu inabidi tuishi kwa upendo maana umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu.
Nenda ukaangalie post number 249Mwache Magufuli peleka udini wako huko! Humtaji JK umekomaa na kumtukana JPM, mdini sana wewe au kwa vile JPM mkristo ndo maana unamtukana hapa? Not fear.
Bakwata hili haliwahusu. Wao wanajua kuisifia CCM.Nasubiri taarifa rasmi ya BAKWATA, au wao wanahusika na maswala ya kutangaza mwezi tu! Hili haliwahusu?
Sio wote walioachiwa. Ni 2 tuu ila wengine wataendelea kuwa rumande.Maskini machozi ya yule padre aliyemwagiwa tindikali, yule shehe mwenye asili ya tanga aliyemwagiwa tindikali, yule polisi aliyechinjwa hapo mwanakwwrekwe, wataliinwaliokuwa wanamwagiwa tindikali, makanisa yaliyokuwa yanachomwa , bar, pamoja na mabucha ya kitimoto[emoji2297][emoji2297]