Mkawashauri sasa hao Masheikh wenzenu waishi kama dini yenu inavyotaka. Yale masuala ya kuhamasisha vurugu, utengano kwa kuwaumiza watu wasio na hatia, kumwagia watu wa imani tofauti tindikali, nk. Yalikuwa yanakiuka kabisa uvumilivu wa kiimani.
Kama u mwenye Uhakika huo Mkuu...Thibitisha hapa JF...
 
Wewe ni msengerema? Hakuna mtu aliyetaka hawa waachiwe ila watu walitaka hukumu itoke maana kama wana makosa wafungwe kama hawana waachiwe full stop, kama wamemwagia watu tindikali wafungwe tu
Hawa jamaa wanajifanya hamnazo
 
na wenye roho mbaya kama nyinyi. Hata Sabaya alikuwa na kibri kama nyie sasa hivi kakonda kama ana ngoma vile. Endeleeni kucheza na uhai wa watu wengine.
Pamoja na roho yangu mbaya ila mimi sina uwezo wa kumshinikiza rais wa nchi,inajulikana Shein ndio kawakamata na kumletea Kikwete,sasa aliyemshinikiza Shein ni Kikwete au nae Kikwete alishinikizwa?
 
Paragraph ya mwisho nimeipenda.

Tutende haki jamani
 
Hao waliopata madhara ni kina nani?? Mbona hamuwataji???
 
Good point.
 
Ni umbea kwamba huko jela kuna watu wengine ambao nao wameshikiliwa huko isivyo haki? kwamba ni hao masheikh tu ndio hawakuwa wakitendewa haki?

Hebu nielezee una maana gani unaposema umbea?
Ndugu,

Maana yangu ni kwamba, tuletee hayo majina ya watu walio jela wameshkiliwa huku kesi zao nikiwa na miaka 8 na kuendelea sasa hivi.

Niliposema usilete umbea nilimaanisha usilete story story tu. Lete majina!

Samahani kama nimekukera mkuu
 
Chadema tumepiga kelele sana kuhusu uonevu waliofanyiwa Mashekhe wa Uamsho.
Hakika mkuu.

Hata ikawa ni moja ya ahadi kutoka kwa mgombea wenu wa Urais kwamba akishinda tu anawaachia.

Katika hili Sisi hatuangalii CCM wala CDM tunaangalia haki ya masheikh na tunawashkuru CDM na CCM na wengine hata wasio na vyama wote waliopaza sauti kuhusu hii issue.
 
Nimekuelewa mkuu.

Thanks sana kwa ufafanuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…