Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Huku sio kuhoji....Hv kuhoji muungano ni kueneza chuki co????
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huku sio kuhoji....Hv kuhoji muungano ni kueneza chuki co????
Kweli...sasa kwa nini.walianzisha hayoo??!Kama ni Kweli lakiniWakatulie sasa watakuwa wamejifunza. Wakianza tena tutawachukua tena.
We...Hu...JuiHapo Kikwete atakuwa kavimba kama chura
kipimo ni matendo yake alipokuwa haikwa hiyo na baregu ametesa watu sana?
Kama u mwenye Uhakika huo Mkuu...Thibitisha hapa JF...Mkawashauri sasa hao Masheikh wenzenu waishi kama dini yenu inavyotaka. Yale masuala ya kuhamasisha vurugu, utengano kwa kuwaumiza watu wasio na hatia, kumwagia watu wa imani tofauti tindikali, nk. Yalikuwa yanakiuka kabisa uvumilivu wa kiimani.
Alikuwa Rais wa JMT.Ndio. Weka uhusika wake hapo
Nakukumbusha tu wakati wanakamatwa alikua waziri wa ujenzi,barabara sio ulinzi wala mambo ya muungano
Hawa jamaa wanajifanya hamnazoWewe ni msengerema? Hakuna mtu aliyetaka hawa waachiwe ila watu walitaka hukumu itoke maana kama wana makosa wafungwe kama hawana waachiwe full stop, kama wamemwagia watu tindikali wafungwe tu
Pamoja na roho yangu mbaya ila mimi sina uwezo wa kumshinikiza rais wa nchi,inajulikana Shein ndio kawakamata na kumletea Kikwete,sasa aliyemshinikiza Shein ni Kikwete au nae Kikwete alishinikizwa?na wenye roho mbaya kama nyinyi. Hata Sabaya alikuwa na kibri kama nyie sasa hivi kakonda kama ana ngoma vile. Endeleeni kucheza na uhai wa watu wengine.
Alikuwa Rais wa JMT.
Kwahiyo Rais Magufuli hakuwa rais wa JMT??Haki mlitakiwa muiombe kwa waliohusika. Kosa walifanya wazenji wenyewe na kalisahihisha mzenji mwenzenu
#Jiwehausiki
ki mwendazakeKiusalama hii imekaaje?
Paragraph ya mwisho nimeipenda.Mimi binafsi namshukuru Mungu kwa hao ndugu kufutiwa mastaka yao, hata kama kweli walikua na sababu yoyote ya kuwa hapo walipokua lakini ninaamini kabisa mwanadamu ameumbwa kwa namna ya kujifunza.
Yamkini Kama sio wao hao mashaikh basi yupo ambae kwa kesi yao atakua amejifunza chochote kitu.
Siku zote ukiwa mtenda haki hata kama jamii itakuhukumu lakini haki itakutetea. Hii Ni kwa mamlaka na hata raia.
Kakujibu????Kwani walifanya kosa gani vile ?
Nyie watu sijui mnakula matope au mavi???Sio wote walioachiwa. Ni 2 tuu ila wengine wataendelea kuwa rumande.
Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
Hao waliopata madhara ni kina nani?? Mbona hamuwataji???Nadhani kama ulishazaliwa kipindi cha 2012 na kuendelea utakuwa umeshuhudia mateso waliopata bainaadam na vifo kupitia vuguvugu za lililoanzishwa na hao jamaa, lakini kama utaona waliopata madhar walikuwa ni kunguni tuu na sii bunadamu utona poa tu wakiwa uraiani wakate waliowasababishia wanaozea makaburini
Mmebaki wanyooooooongeWrite your reply...safi . watulie sasa waachane na mihadhara ya dini.
Good point.Msiione haki kwa upande mmoja tu kutaka nyie mpewe zaidi ya wengine, huo ni ubinafsi, aina ya mahubiri mliyotoa yalihamasisha chuki zilizowaumiza wengine ambao nao wana haki zao, baada yenu kuwekwa ndani hali ikatulia.
Mkajifunze kuheshimu haki za wengine kama nyie mnavyotaka haki zenu ziheshimiwe, msijione bora zaidi ya wengine mpaka kuwasababishia maumivu ya aina yoyote.
Mmefurahi kutoka jela, ila mjue sasa mna jukumu la kulinda raia wengine wasio wa imani kama yenu, muache mihemko, fanyeni yenu muwaache wengine wafanye yao kwa uhuru wao, hii Tanzania ni yetu sote, hakuna alie juu ya mwingine wala hatakuwepo.
Ndugu,Ni umbea kwamba huko jela kuna watu wengine ambao nao wameshikiliwa huko isivyo haki? kwamba ni hao masheikh tu ndio hawakuwa wakitendewa haki?
Hebu nielezee una maana gani unaposema umbea?
Hakika mkuu.Chadema tumepiga kelele sana kuhusu uonevu waliofanyiwa Mashekhe wa Uamsho.
Nimekuelewa mkuu.Mkuu umesahau maneno aliyowahi kusema Mh Mwendazake Samwel sitta? Alisema mambo ya sheria unaweza ukauua mtu na kisu ukapata mwanasheria mzuri wa kukutetea ukaachiwa huru ,hoja yangu ya msingi sio kuachiwa bali kama hawakutenda hayo mambo ya ugaidi kama ni kweli....Unaweza ukaachiwa huru lakini ukawa umetenda ugaidi.
Ni kama Babu seya rufaa zao zote ziligonga mwamba kwamba walikuwa na hatia ya ubakaji lakini wao kama wao walisema hawkutenda ila JPM alivyokuwa aliwatoa,je ni kweli walibaka kama mahakama ilivyosema au hawajabaka ndio maana JPM aliwaaachia? Ukweli wanaujua wao.
Mtuhumiwa ndio anajua ukweli 100% kama alitenda kweli au lah regardless maamuzi ya mahakama ,kushinda au kushindwa mahakamani kuna mambo mengi....si uliona mwanzoni sabaya alikamatwa na vitambulisho feki vya TISS lakini DPP akasema hana nia ya kuendelea na kesi,je ukikamtwa wewe mwenzangu na mimi kwa kesi kama hiyo DPP atasema hivyo hivyo kwa precedent.