technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Hii ni kwa wale wote wanaoisoma namba mtaani toka utawala wa awamu ya tano umeanza.......
Ile kauli ya Rais ya kuwageuza baadhi ya malaika waishi kama mashetani sasa nataka kila mtu ambaye kauli hii imemgusa kwa namna moja hama nyingine atueleze ni kwa namna gani maisha yake yamebadilika either kuwa kama shetani au kuwa kama malaika.
Funguka mkuu usiogope kusema mazuri uyoyapata au mabaya yaliyokukuta.
Ile kauli ya Rais ya kuwageuza baadhi ya malaika waishi kama mashetani sasa nataka kila mtu ambaye kauli hii imemgusa kwa namna moja hama nyingine atueleze ni kwa namna gani maisha yake yamebadilika either kuwa kama shetani au kuwa kama malaika.
Funguka mkuu usiogope kusema mazuri uyoyapata au mabaya yaliyokukuta.