Hiyo hiyoFrench ndio lile unakula mbele na nyuma?
Najua kucheza michezo yote na ndiyo manana nikasema hivyo. Hayupo mtu anayejua kucheza michezo yote hii miwili ambaye amaweza akakuambia kuwa British nao ni mchezo. Ni yule tu ambaye huwa hachezi French ndiyo anaweza akausifia mchezo wa BritishKumbe wewe haujui draft.
Kati ya French na British draft gani zuri?
Ronaldo Ni nyoko!!Ronaldo 2 Simba wa dodoma 1
Fainali Noeli Vs Ronaldo
Me nadhani Noel ndio bingwa hapo.Ronaldo 2 Simba wa dodoma 1
Fainali Noeli Vs Ronaldo
Kama sijakosea itakuwa wa kupuliza mmea mkuu. (Natania tu usije ukanipa za Bruce Lee)Jet lee? Jina kapewa na nani hili? Haya majina ya hivyo tunayo mafundi tu, mimi naitwa Bruce Lee, ila ufundi wangu sikwambii ni wa nini.
Ronaldo 3 sio 2Ronaldo 2 Simba wa dodoma 1
Fainali Noeli Vs Ronaldo
Ahahaaaaaa....!Aliugua sana kichwa akapelekwa hospitali, huko alilazwa siku nyingi akiugulia. Ndugu zake walikua wanahangaika sana kumtibia hadi akapata nafuu
Madaktari wakaiambia familia yake kua huyu mgonjwa wenu inaonekana kuna kitu anakifanya kwa kufikiria sana inatakiwa apunguze au akiache kabisa.
Mangwezi akamjibu daktari kua nasomaga magazeti tu, sa familia yake ikaropoka kua kua muongo anachezaga madraft
Fainali
Noeli 2 Ronaldo 1
Noel mtata sana sema hayupo Dar muda mwingi naona watu hawamzungumzii sana. Hapo juu nilitoa maoni yangu baada ya jamaa kutinga final.Me nadhani Noel ndio bingwa hapo.
Jamaa kapindua meza!
Kweli hizi kazi ni ngumu sana.
Uyu Noel nae anabalaa lake...Noel3-1,game 11
Uyu Noel nae anabalaa lake...
Kwa michuano hii inanekana alikua na sumu zake kutoka green city akawa anawazoom tu wadaslade, anaeza ua woote huyu [emoji61]
Noel ni miongoni wa mafundi wazito wa bao asiye na maneno, jamaa huwa namkubali sana ni mstaarabu hatari.
Noel huyu ni wa Dar ila kwa sasa nadhani yupo Njombe kikazi.Afu kama namfananisha uyu jamaa na jamaa flani nae ni fundi wa mbeya anaitwa noeli nyingi (kipindi kile alikua maarufu kama bonge )