gspain
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,920
- 6,081
Duh hapo ili ushinde lazima uwe na hazina ya ufundi wa mabao, yaani uwe na 'miguu' ya kutosha.Nasikia game za mitoano ilikuwa zilipigwa 14; 7 anaanza huyu na 7 anaanza mwingine.
Na kwenye kuanza kila game unaanza kete tofauti na ile ya mwanzo, kwa michezo hiyo 7 yote unaanza kete tofauti.
Sasa nimeelewa kwa nini Noel kaibuka na ubingwa, mashindano yalitoa nafasi ya bingwa kudhihirisha ubingwa wake na kwenye hilo sina shaka na Noel, jamaa ni legendary kwenye mabao.