Mashindano makubwa ya "drafti" Dar: Noel Namaloe atwaa ubingwa baada ya kumshinda Ronaldo katika fainali

Mashindano makubwa ya "drafti" Dar: Noel Namaloe atwaa ubingwa baada ya kumshinda Ronaldo katika fainali

Ukiacha Dar, inaonekana Dodoma imebeba mabingwa wengi wa huu mchezo.

Ronaldo, Nduli (naye sasa hivi amebase Dom), Dogo Janja na Simba.

Kuna siri gani huko?
Kuna vijiwe vikubwa sabasaba..majengo sokoni..na kubwa zaidi huwa wanatumiwa nauli kuja kudi scuss mabao...na kufundisha kwa hela
 
Fundi
View attachment 1482838
Jamaa kweli fundi,saluti kwake hapo hatoki uyo mpinzani
 
Back
Top Bottom