Aneel munawar
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 4,580
- 8,141
Kuna vijiwe vikubwa sabasaba..majengo sokoni..na kubwa zaidi huwa wanatumiwa nauli kuja kudi scuss mabao...na kufundisha kwa helaUkiacha Dar, inaonekana Dodoma imebeba mabingwa wengi wa huu mchezo.
Ronaldo, Nduli (naye sasa hivi amebase Dom), Dogo Janja na Simba.
Kuna siri gani huko?