Mashindano ya Division ZERO 2023

Mashindano ya Division ZERO 2023

Hii ni special case. Wanafunzi 1032 kwa darasa moja ni wengi sana. Hapo unapata mikondo 26 kwa wastani wa wanafunzi 40 kila mkondo. Shule kama Tanga Tech, Moshi Tech, Ilboru, Mzumbe na zingine za kitaifa huwezi kuta kwenye darasa moja kuna wanafunzi zaidi ya 50. Hao wa kata hawatendewi haki. Hapo wanafunzi 1032 unakuta kuna waalimu wasiozidi 10 wakati ilitakiwa wawe zaidi ya 50. Kwenye practicals waliingia kwa session ngapi?

Viongozi wa wanaojinadi kumsaidia Mama Samia kazi wajitafakari upya. Kusimama majukwaani na kutoa sifa kwa mama ni kama kichaka chenu cha kuficha madhaifu yenu. Leo siwalaumu hao vijana zaidi ya 400 waliopata sifuri. Kulikuwa hakuna namna.
Ndio maana ule uamuzi wa kuzuia kutangaza ma TO nimeupenda sana, haileti mantiki kushindanisha shule na wanafunzi kwa mazingira haya, kwa scenario hii umeandika hapa automatically shule kama hii lazima ishike tu mkia au nafasi za chinj sana miaka yote au kutokuja kutoa TO milele na milele.

Sasa madogo hao 400+ wanaingia mtaani, waanze kujitafuta na hii life ya kibongo, kazi ipo si mchezo
 
Zama hizi WASTAARABU, wanaficha mpaka majina. Enzi zetu ilikua unaenda kuangalia matokeo shuleni ukiwa umekula MZINGA unakuta wadau wameshazungushia DUARA kwenye jina lako.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mzigo ulikua unachiwa kwny gazeti ***** mtaa mzima wanajua umezunguka.....!

Sent from my Pixel 3a using JamiiForums mobile app
 
IMG_4694.jpg

Mwaka huu ni aibu.!
 
Ndio maana ule uamuzi wa kuzuia kutangaza ma TO nimeupenda sana, haileti mantiki kushindanisha shule na wanafunzi kwa mazingira haya, kwa scenario hii umeandika hapa automatically shule kama hii lazima ishike tu mkia au nafasi za chinj sana miaka yote au kutokuja kutoa TO milele na milele.

Sasa madogo hao 400+ wanaingia mtaani, waanze kujitafuta na hii life ya kibongo, kazi ipo si mchezo
Aisee ni changamoto life lenyewe gumu.
 
Ndio maana ule uamuzi wa kuzuia kutangaza ma TO nimeupenda sana, haileti mantiki kushindanisha shule na wanafunzi kwa mazingira haya, kwa scenario hii umeandika hapa automatically shule kama hii lazima ishike tu mkia au nafasi za chinj sana miaka yote au kutokuja kutoa TO milele na milele.

Sasa madogo hao 400+ wanaingia mtaani, waanze kujitafuta na hii life ya kibongo, kazi ipo si mchezo
Laiti wangetoa matokeo na majina tungeduwaa Kwa hujuma ambazo watoto wetu wanafanyiwa
 
Ni wakati Sasa Zanzibar kuwa na Baraza Kamili la Mitihani. Dhuluma hii haivumiliki.

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji1544][emoji23] mzee umekuja hadi huku?? we unadhani watoto wote wakipata Div. nani atakubali kuwa Kadhi au mwalimu wa madressa?
 
Iundwe tume wajumbe 250 (125 bara, 125 visiwani) ichunguze hizi hujuma

Mimi niwepo kwenye hiyo tume. mchango wangu ni kwamba Zanziberi iwe na Ilmu ya deen au ilmu akhera na ilmu dunia

mambo yasiwe mengi wapemba vichwa ni vidogo weye wamjazia masomo 10 yakazi ganiiii?
 
Back
Top Bottom