Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 28,259
- 41,416
Umepanic eeh, hahahahaha hivi wewe unafundishaga nini huko shule? CCM mna laana haki!!Msenger wewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umepanic eeh, hahahahaha hivi wewe unafundishaga nini huko shule? CCM mna laana haki!!Msenger wewe.
TEKU?Tatizo linaanza darasa la 4, mchujo watakiwa uanzie hapo.
Hakuna sifa kupeleka namba kubwa isiyo na faida.
Wachaguliwe wachache wenye sifa
Hata kama wameanza 1.3mil darasa la kwanza, kama hawajui kusoma na kuandika ikifika darasa la 4 warudie.
Hapo watabaki 700,000
Hao laki 7,
Darasa la 7 wachekeshwe tena ili wabaki 500,000
Hawa watakuwa bora
Hao 500,000 wachujwe Form 2
Wabaki 300,000
Hao Laki 3 wachujwe wabaki 100,000
Hao ndo waende vyuo vikuu
Njoo bar Moja inaitwa Kingstone mzee baba hutojutiaKitimoto Safi naweza kupata wapi mitaa ya Mbezi Mwisho?
Vijukuu vya farao hivo, biblia na msaafu watasoma saangapi, wakati insta, Facebook na TikTok hawajafuatiliaWanapata F hadi somo la dini duuuu...wakati Bible knowledge mtu ulikua ukipata b unaona umefelii[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Gara ZiroooGara whaat?
Hakika vijana WAPENDA starehe mmeamua kutufungulia mwaka na ZERO zenu.
Eg.Taifa Sec. School, Division ZERO 474 + 533 Division 4 (ambayo ni division ZERO iliyochangamka) = YUTONG 15 full capacity).
NB: unapata F F F F mpaka Civics, Kiswahili?
SEKTA zitakazonufaika na mgao huu WA division ZERO;
1. Ualimu,
2. Polisi,
3. Bongo Movie,
4. Singeli.
5. Umoja wa vijana (vyama vya Siasa).
6. Baa
Na kidato cha Pili pia walifauluYaani miaka 4 imeenda bure haalfu wengi hawa tunaambiwa WALIFAULU Darasa la 7?
Alafu kuna mikondo mitano tu ..!! A,B,C,D,EKumbe shule ya seko inaweza kuwa na hata wanafunzi 10,000!
Hata kama hiyo shule ingekuwa na vitendea kazi vyote, mkuu wake atakuwa na wakati mgumu sana kuisimamia
Hao ni reseters,View attachment 2500044
Kuna vitu vinatia Huduma aisee
Tumemfuma anatumia ID mbili moja hiyo juma nyingine hii...