Mashindano ya Division ZERO 2023

Mashindano ya Division ZERO 2023

Kamati teule iundwe. Mwenyekiti Dr. Taletale
 
Kamati teule iundwe. Mwenyekiti Dr. Taletale
[emoji38][emoji38][emoji38] kwahiyo Dr taletale ndio naye anaweza kuwepo ktk kamati,ila hii nchi ukiwa chawa wa mama mzuri basi udoctor ni kupush tu
 
Al
Kwamba wakati wake ndio watu walifaulishwaAlibalance mambo. Hakuwa nanupumbavu mwingi hivi. Sahivi Ni shamba la Bibi halina Mwenyewe Kila mtu anavuna tuu
Daah !! Sasa darasa Moja lenye wanafunzi 1000+ ulitaka wazazi wakajenge shule au..?? Shida iko kwenye mfumo wa elimu upande wa Serikali na watendaji wake. Alafu hao wazazi wasio wajibika ni wa dar tu au. Serikali shida ilipiinajua ila hakuna anae jali kwa sababu watoro Wao wanasoma fedha boys na Marian girls ,baobab ,Tanganyika International School na N.k huko ambako Darasa zkma kuna One na ukipata two ni kama umefeli. So nani atakujali wewe kapuku mlala hoi..?? Mwisho wa Siku ukiwasikiliza utasikia wanasema " swala la Elimu ni swala mtambuka ila wazazi Hawa wajibika na wamewaachia walimu pekee yao. Mzazi atawajibikaje na Mtoto Anatoka nyumbani saa kumi na mbili Asubuhi anarudi saa kumi na mbili Jioni..?? Hata wazazi wenye jitihada wanarudishwa nyuma na walio wanaopiga wanafunzi Fimbo za ugoko Kama Wezi,Kuna uozo na uvundo mkubwa sana Wizara ya Elimu. Elimu ya Tanzania kwa sasa haina mwelekeo. Hakuna maana tena ya kuwekeza Nguvu na Pesa kiduchu inayopatikana Kwa taabu kwenye Elimu Ndo maana wazazi walala hoi wamejikatia tamaa wanaona Bora hata wasipeleke watoto shule tuu. Haiwezekani kabisa kwenye shule Moja darasa Moja liwe na wanafunzi 1000+ na alafu uje useme wazazi nyenye nyenye sijui Ani mambo mengine Yana kera mno. Kama Serikali inajua haina Uwezo wa kuhakikisha mazingira Bora ya kujifunza si Bora tu baada ya lasaba watoto wengine waende veta kuliko kupoteza nauli za Miaka minne kwenye dalala na kuvuna ZIRO. Ani ukipata ZIRO form Four Wewe ni kama hujasoma.
Ile Miaka minne ya shule ni kama ulienda kukua na kujuama na watu wapya tuu.
NAFIKIRI KUNA KITU NYUMA YA PAZIA. Soon tutasikia
Tatizo ni wazazi kutowajibika
 
Wanafunz wa Sasa sio wale wanafunz wa zamani .miaka hiyo kabla ya tiktoka tulijua haswa umuhimu wa elimu yaan unaweza ukahisi bila elimu mbele hakuna maisha.

Iila hawa wa Sasa wametupita mpaka kaka zao na baba zao

Sasa sijui ndio dunia kuzunguruka kwenye mhimili wake imezidisha Kasi ama vipi maana kuilaumu serikali Wala mzaz ni uonevu tu wote hao wanajitahidi na kufanya inavotakiwa.

Mdogo wangu alitakiwa amalize elimu ya kidato Cha nne mwaka huu lakn nipo nae hapa nalea mjomba na si Kama msimamo na mikazo haikuwepo..ilikuwepo ni Kama yote na ufuatiliaji pia lakini vichwa vyao vumebadilika

Kulaumu serikali kila Jambo sio sawa

Kuna sehemu hatuko sawa .tujue ni wapi na tupafanyie kazi.

Naandika kwa uchungu sana
 
Hii ni special case. Wanafunzi 1032 kwa darasa moja ni wengi sana. Hapo unapata mikondo 26 kwa wastani wa wanafunzi 40 kila mkondo. Shule kama Tanga Tech, Moshi Tech, Ilboru, Mzumbe na zingine za kitaifa huwezi kuta kwenye darasa moja kuna wanafunzi zaidi ya 50. Hao wa kata hawatendewi haki. Hapo wanafunzi 1032 unakuta kuna waalimu wasiozidi 10 wakati ilitakiwa wawe zaidi ya 50. Kwenye practicals waliingia kwa session ngapi?

Viongozi wa wanaojinadi kumsaidia Mama Samia kazi wajitafakari upya. Kusimama majukwaani na kutoa sifa kwa mama ni kama kichaka chenu cha kuficha madhaifu yenu. Leo siwalaumu hao vijana zaidi ya 400 waliopata sifuri. Kulikuwa hakuna namna.
..kweli kabisa Mkuu, najaribu kufikiria mwalimu anayefundisha darasa la Amina hiyo,kwa somo lolote, ni namna Gani aliweza kupitia madaftari ya watoto hao.
 
Si ungejiua kabisa maana wataendelea kuwepo tu.na hicho kichefuchefu ka mjamzito ndo utaendelea kuteseka.
 
Hawa watoto wanaendekeza ngono na bangi Maisha ni Magumu yes Mazingira Magumu yes lakini Huwezi kuwa serious unahangaika huku na kule then mwisho ukatoka 0-0
 
Back
Top Bottom