Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji38][emoji38][emoji38] kwahiyo Dr taletale ndio naye anaweza kuwepo ktk kamati,ila hii nchi ukiwa chawa wa mama mzuri basi udoctor ni kupush tuKamati teule iundwe. Mwenyekiti Dr. Taletale
Daah !! Sasa darasa Moja lenye wanafunzi 1000+ ulitaka wazazi wakajenge shule au..?? Shida iko kwenye mfumo wa elimu upande wa Serikali na watendaji wake. Alafu hao wazazi wasio wajibika ni wa dar tu au. Serikali shida ilipiinajua ila hakuna anae jali kwa sababu watoro Wao wanasoma fedha boys na Marian girls ,baobab ,Tanganyika International School na N.k huko ambako Darasa zkma kuna One na ukipata two ni kama umefeli. So nani atakujali wewe kapuku mlala hoi..?? Mwisho wa Siku ukiwasikiliza utasikia wanasema " swala la Elimu ni swala mtambuka ila wazazi Hawa wajibika na wamewaachia walimu pekee yao. Mzazi atawajibikaje na Mtoto Anatoka nyumbani saa kumi na mbili Asubuhi anarudi saa kumi na mbili Jioni..?? Hata wazazi wenye jitihada wanarudishwa nyuma na walio wanaopiga wanafunzi Fimbo za ugoko Kama Wezi,Kuna uozo na uvundo mkubwa sana Wizara ya Elimu. Elimu ya Tanzania kwa sasa haina mwelekeo. Hakuna maana tena ya kuwekeza Nguvu na Pesa kiduchu inayopatikana Kwa taabu kwenye Elimu Ndo maana wazazi walala hoi wamejikatia tamaa wanaona Bora hata wasipeleke watoto shule tuu. Haiwezekani kabisa kwenye shule Moja darasa Moja liwe na wanafunzi 1000+ na alafu uje useme wazazi nyenye nyenye sijui Ani mambo mengine Yana kera mno. Kama Serikali inajua haina Uwezo wa kuhakikisha mazingira Bora ya kujifunza si Bora tu baada ya lasaba watoto wengine waende veta kuliko kupoteza nauli za Miaka minne kwenye dalala na kuvuna ZIRO. Ani ukipata ZIRO form Four Wewe ni kama hujasoma.Kwamba wakati wake ndio watu walifaulishwaAlibalance mambo. Hakuwa nanupumbavu mwingi hivi. Sahivi Ni shamba la Bibi halina Mwenyewe Kila mtu anavuna tuu
Tatizo ni wazazi kutowajibika
Kitimoto haijawahi kuwa safi. Sema tena unataka kitimoto ganiKitimoto Safi naweza kupata wapi mitaa ya Mbezi Mwisho?
Hawa Zero tunawapeleka wapi?Kitimoto haijawahi kuwa safi. Sema tena unataka kitimoto gani
..kweli kabisa Mkuu, najaribu kufikiria mwalimu anayefundisha darasa la Amina hiyo,kwa somo lolote, ni namna Gani aliweza kupitia madaftari ya watoto hao.Hii ni special case. Wanafunzi 1032 kwa darasa moja ni wengi sana. Hapo unapata mikondo 26 kwa wastani wa wanafunzi 40 kila mkondo. Shule kama Tanga Tech, Moshi Tech, Ilboru, Mzumbe na zingine za kitaifa huwezi kuta kwenye darasa moja kuna wanafunzi zaidi ya 50. Hao wa kata hawatendewi haki. Hapo wanafunzi 1032 unakuta kuna waalimu wasiozidi 10 wakati ilitakiwa wawe zaidi ya 50. Kwenye practicals waliingia kwa session ngapi?
Viongozi wa wanaojinadi kumsaidia Mama Samia kazi wajitafakari upya. Kusimama majukwaani na kutoa sifa kwa mama ni kama kichaka chenu cha kuficha madhaifu yenu. Leo siwalaumu hao vijana zaidi ya 400 waliopata sifuri. Kulikuwa hakuna namna.
Watajua wenyewe, sisi tunalamba asali tu..kweli kabisa Mkuu, najaribu kufikiria mwalimu anayefundisha darasa la Amina hiyo,kwa somo lolote, ni namna Gani aliweza kupitia madaftari ya watoto hao.
Zionee huruma tozo zetu, tume ya nini hapo suala lipo waziIundwe tume wajumbe 250 (125 bara, 125 visiwani) ichunguze hizi hujuma