Nenda Bwalon kwa Tarimo.Utakuja kunishukuruNjoo bar Moja inaitwa Kingstone mzee baba hutojutia
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Hahaha hatari mkuu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu ebu tupiako ile short clip ya wanafunz wakicheza kwa madaa.Kitimoto Safi naweza kupata wapi mitaa ya Mbezi Mwisho?
Yote maishaVijana wanamwagika Kariakoo hao kuuza madera
Mwendo wameumaliza 🤣🤣🤣🤣🤓🤓🤓Hakika vijana WAPENDA starehe mmeamua kutufungulia mwaka na ZERO zenu.
Eg.Taifa Sec. School, Division ZERO 474 + 533 Division 4 (ambayo ni division ZERO iliyochangamka) = YUTONG 15 full capacity).
NB: unapata F F F F mpaka Civics, Kiswahili?
SEKTA zitakazonufaika na mgao huu WA division ZERO;
1. Ualimu,
2. Polisi,
3. Bongo Movie,
4. Singeli.
5. Umoja wa vijana (vyama vya Siasa).
6. Baa
We ulisomea nn chuo kwani si ualimu au acha zako hiyo sio fani ya kujivunia mkuuu utachekwa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 tena ukute unafundisha o level unatutambia hapa tuToa ualimu kwenye ujinga wako ,,nilipiga 1.15 O level nikapiga two Adv pnt 12 PCB and ama a teacher
DuuhNjoo bar Moja inaitwa Kingstone mzee baba hutojutia
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app