Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Hakuna walimu wanaonda chuo division 0.Hakika vijana WAPENDA starehe mmeamua kutufungulia mwaka na ZERO zenu.
Eg.Taifa Sec. School, Division ZERO 474, Division 4 (ambayo ni division 0 iliyochangamka 533=YUTONG 15 full capacity).
NB: unapata mpaka Civics, Kiswahili F?
SEKTA zitakazonufaika na mgao huu WA division ZERO;
1. Ualimu,
2. Polisi,
3. Bongo Movie,
4. Singeli.
5. Umoja wa vijana (vyama vya Siasa).
Ndio maana utakuta ndoa nyingi ni mabomu tu!Vibaya mno[emoji1787]
Malovee town hapo,Kufuatilia series,Hawajui ugumu wa maisha.Pia hawana malengo kila kitu wanapata.Hapa kosa kubwa sio serikali ata wazazi hawana mda na watoto wao kabisa mbona shule za vijijini wana jitahidi sana kuliko dar ambapo kuna nyenzo mbali mbali kama tuitions n.k tatizo ni wazazi
Haitasaidia hata wakaenda wa chuo kikuuNashauri serikali iwe na utaratibu wa kuwabadilisha vituo walimu wa shule zilizofelisha kwenda kwenye shule zilizofaulisha vivyo hvyo kwa walimu wa shule zilizofaulisha ilikubadilishana mbinu.
[emoji23][emoji23][emoji23]Mtanikumbuka
Hiyo number 5 kuwa specific kwa kututajia chamaHakika vijana WAPENDA starehe mmeamua kutufungulia mwaka na ZERO zenu.
Eg.Taifa Sec. School, Division ZERO 474, Division 4 (ambayo ni division 0 iliyochangamka 533=YUTONG 15 full capacity).
NB: unapata mpaka Civics, Kiswahili F?
SEKTA zitakazonufaika na mgao huu WA division ZERO;
1. Ualimu,
2. Polisi,
3. Bongo Movie,
4. Singeli.
5. Umoja wa vijana (vyama vya Siasa).
Chama langu hilo. Pembeni ya KINESI Arena watu wanakula NDUMU kama wanakufa kesho
Ulitaka yafanyweje mkuu...Haya matokeo yalihakikiwa kweli?
Ha ha ha. Labda alitaka yapite kwanza kwa MWENEZI afanye jambo kisha ndo yatangazwe!Ulitaka yafanyweje mkuu...
Hapo kwenye Umoja wa Vijana malizia wa CCM.Watavalishwa na migwanda yao ile.Wanapanda cheo na kuwa mijichawa.Hakika vijana WAPENDA starehe mmeamua kutufungulia mwaka na ZERO zenu.
Eg.Taifa Sec. School, Division ZERO 474 + 533 Division 4 (ambayo ni division ZERO iliyochangamka) = YUTONG 15 full capacity).
NB: unapata F F F F mpaka Civics, Kiswahili?
SEKTA zitakazonufaika na mgao huu WA division ZERO;
1. Ualimu,
2. Polisi,
3. Bongo Movie,
4. Singeli.
5. Umoja wa vijana (vyama vya Siasa).
6. Baa
Huyu jamaa sijui anawachukuliaje walimu aisee.....inawezekana hata yeye alipata zero maana haelewi kama ukipata zero huna cheti....walimu na polisi wote hakuna aliyepata zero Tena kwa walimu hata ukipata dv 4 huendi ualimu.Hakuna walimu wanaonda chuo division 0.
hao watoto wamechagua kupata ZERO makusudi (na matokeo waliyajua toka mtu katoka chumba cha mtihani). Yaan hadi KISWAHILI na somo la DINI watu wanapiga F F F F F F F FInasikitisha sana mtoto kupata zero.
Alikopelekwa pia kuna binadamu, anaweza kuendelea na kampeni yake.Dc mwegelo wame mwamisha ingebidi ianze kampeni yake ya Tokomeza zero...
Mauzauza hoyee!!!Hatari Sana. Mimi huwa nasema Tanzania ijayo ya miaka ishirini itakuwa ya ajabu Sana. Na hivi uchawa umekuwa kazi rasmi.
nimecheka mpaka nimepaliwa any way this is FACTHakika vijana WAPENDA starehe mmeamua kutufungulia mwaka na ZERO zenu.
Eg.Taifa Sec. School, Division ZERO 474 + 533 Division 4 (ambayo ni division ZERO iliyochangamka) = YUTONG 15 full capacity).
NB: unapata F F F F mpaka Civics, Kiswahili?
SEKTA zitakazonufaika na mgao huu WA division ZERO;
1. Ualimu,
2. Polisi,
3. Bongo Movie,
4. Singeli.
5. Umoja wa vijana (vyama vya Siasa).
6. Baa