Sijui watu walioko huko.Kwani hawaruhusu kuchukua videos afu mtuwekee hapa hayo mapambano Wakuu?
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Ku record mechi nzima mpaka iishe ni kazi kutoka na watu kuwa wengi pia draft linachukua mda mrefu mfano Noel na Nduli wametumia masaa 3 Toka saa 10 mpaka saa 1 ndo mechi imeishaSijui watu walioko huko.
Mi mwenyewe nimeomba nitumiwe video ila imekuwa ngumu.
Nahisi kwasababu ya game kuchukua muda mwingi.
Unakuta wanacheza mechi nyingi zinatoka sare tu, sasa hapo unaweza ukajaza storage ya simu
Mechi ngumu ila Ronaldo anashindaSisco kashindwa kuzima ufalme Ronaldo kazi imebaki Kwa Noel na Noel lazima apasuke hiyo kesho
KabisaaKwani hawaruhusu kuchukua videos afu mtuwekee hapa hayo mapambano Wakuu?
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Nduli analala sana. Mpaka wamuhesabie zile kumi. Sekunde zake anatumia zote.Ku record mechi nzima mpaka iishe ni kazi kutoka na watu kuwa wengi pia draft linachukua mda mrefu mfano Noel na Nduli wametumia masaa 3 Toka saa 10 mpaka saa 1 ndo mechi imeisha
Lazima waweke mda maalum kama mechi moja inatakiwa iwe na mda Gani, Ili Kila mtu abalance mda wake.Nduli analala sana. Mpaka wamuhesabie zile kumi. Sekunde zake anatumia zote.
Hii bado hatujaizoea. Na inahitaji kupata zile chess clock.Lazima waweke mda maalum kama mechi moja inatakiwa iwe na mda Gani, Ili Kila mtu abalance mda wake.
duhWatu wanadai Sisco alihujumiwa
Kuna time aliweka kete ngumu Ronaldo akalala kupitiliza muda uliopangwa.
Kamisaa alitakiwa kusimamisha pambano na kumpa ushindi Sisco lakini haikuwa hivyo.
Kama ni kweli basi kwa namna moja Sisco hajatendewa haki japo mi namkubali Ronaldo
View attachment 2735060
Mshindi anapewa zawadi gani?Mashindano ya siku Tatu ya drafti kitaifa yameanza leo huko Chunya, Mbeya.
Leo yamechezwa makundi na 16 bora.
Walioingia 16 bora ni hawa.
RATIBA RASMI YA MASHINDANO YA DRAFTI KITAIFA IMESHATOKA.
YATAANZA RASMI TAREHE 30 AGOSTI 2023 HADI 01 SEPTEMBA 2023.
MASHINDANO YA KUMTAFUTA BINGWA WA DRAFT TANZANIA 2023
WASHIRIKI
KUNDI A
Sisco
Gaby
Monster
Dogo shuku
Ngapulila
KUNDI B
Dilima
Digi Digi
Aradini
Dogo yassin
Matongo
KUNDI C
Noel
Mwasapile
Mbeya city
Dogo janja
Mawazo
KUNDI D
Mamba
Keny hisabati
Nungwi
Gaidi
Hemed Arusha
KUNDI E
Rama Arusha
Dany Mbeya
Dogo Athuman
Kwata mwivi
Lissu
KUNDI F
kiwembe
Stive Mbeya
Dogo Hans
Rama singida
Dogo Ally
KUNDI G
Simba Dom
Shaban Mbeya
John kipaji
Kili mnyama
Zaidi
KUNDI H
Nduli
Babu songea
Amani Siri
Hussein tanga
Kavimba
16 BORA
A1 vs E2
D1 vs. H2
B1 vs. F2
C1 vs G2
E1 vs A2
H1 vs D2
F1 vs B2
G1 vs C2
Robo fainali
Mshindi 1 vs 2
Mshindi 3 vs 4
Mshindi 5 vs 6
Mshindi 7 vs 8
Nusu fainali
R1 vs R2
R3 vs R4
Mshindi wa 3
Fainali
Zawadi
1. 2,000,000/=
2. 1,000,000
3. 500,000
View attachment 2733910
Robo fainali
View attachment 2734207
Hawa watu mna wajulia wapi?Dogo Shuku unamchukulia poa sio?
Ana balaa huyu dogo we muonage hivyo hivyo
Dogo Shuku yupo Manyanya pale ukifika mida ya night utamuona anacheza poolHawa watu mna wajulia wapi?
Mshindi anapewa zawadi gani? Vigezo vya kushiriki ni vipi?Dogo Shuku yupo Manyanya pale ukifika mida ya night utamuona anacheza pool
Ila hapa kuna mafundi wanne waliofika nusu
Kutoka mkono wa kushoto huyo aliyevaa koti la njano ni Sisco, anafuatia Nduli anakuja Noel wa mwisho ni Ronaldo
Ronaldo anatarajiwa kukutana na Noel kesho kwenye fainali baada ya kumtoa Sisco
View attachment 2735096
Gharama za usafiri, malazi, chakula zote zinakuwa ni juu ya host ambaye ni SteveMshindi anapewa zawadi gani? Vigezo vya kushiriki ni vipi?
Gharama ya usafiri kwa watu wanaoishi mbali na hiyo sehemu panapofanyika mashindano ni ya nani?
Vigezo vya kushiriki ni vipi? Wachezaji wanatoa kiasi gani kama kiingilio?Gharama za usafiri, malazi, chakula zote zinakuwa ni juu ya host ambaye ni Steve
Mshindi wa kwanza anachukua 2M wapili 1M na watatu anachukua 500K
Hakuna kiingilio ni wewe tu na ufundi wakoVigezo vya kushiriki ni vipi? Wachezaji wanatoa kiasi gani kama kiingilio?
Sasa anayetoa hayo mamilioni kwa washindi na gharama nyinginezo kwa washiriki yeye atakuwa ana faidika vipi?Hakuna kiingilio ni wewe tu na ufundi wako
Passion Tu mkuu maana inshu imekaa kiburudani zaidi sio kibiashara... Kama ni mpenzi wa draft utanielewaSasa anayetoa hayo mamilioni kwa washindi na gharama nyinginezo kwa washiriki yeye atakuwa ana faidika vipi?
Ni passion tu wala apati chochoteSasa anayetoa hayo mamilioni kwa washindi na gharama nyinginezo kwa washiriki yeye atakuwa ana faidika vipi?