Mashindano ya drafti kitaifa, Chunya Mbeya

Mashindano ya drafti kitaifa, Chunya Mbeya

Kwani hawaruhusu kuchukua videos afu mtuwekee hapa hayo mapambano Wakuu?

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Sijui watu walioko huko.

Mi mwenyewe nimeomba nitumiwe video ila imekuwa ngumu.

Nahisi kwasababu ya game kuchukua muda mwingi.

Unakuta wanacheza mechi nyingi zinatoka sare tu, sasa hapo unaweza ukajaza storage ya simu
 
Sijui watu walioko huko.

Mi mwenyewe nimeomba nitumiwe video ila imekuwa ngumu.

Nahisi kwasababu ya game kuchukua muda mwingi.

Unakuta wanacheza mechi nyingi zinatoka sare tu, sasa hapo unaweza ukajaza storage ya simu
Ku record mechi nzima mpaka iishe ni kazi kutoka na watu kuwa wengi pia draft linachukua mda mrefu mfano Noel na Nduli wametumia masaa 3 Toka saa 10 mpaka saa 1 ndo mechi imeisha
 
Ku record mechi nzima mpaka iishe ni kazi kutoka na watu kuwa wengi pia draft linachukua mda mrefu mfano Noel na Nduli wametumia masaa 3 Toka saa 10 mpaka saa 1 ndo mechi imeisha
Nduli analala sana. Mpaka wamuhesabie zile kumi. Sekunde zake anatumia zote.
 
Watu wanadai Sisco alihujumiwa

Kuna time aliweka kete ngumu Ronaldo akalala kupitiliza muda uliopangwa.

Kamisaa alitakiwa kusimamisha pambano na kumpa ushindi Sisco lakini haikuwa hivyo.

Kama ni kweli basi kwa namna moja Sisco hajatendewa haki japo mi namkubali Ronaldo
 
Team Ronaldo tupo hapa ...Jini lazima abebe hiyo
 
Mashindano ya siku Tatu ya drafti kitaifa yameanza leo huko Chunya, Mbeya.

Leo yamechezwa makundi na 16 bora.

Walioingia 16 bora ni hawa.

RATIBA RASMI YA MASHINDANO YA DRAFTI KITAIFA IMESHATOKA.
YATAANZA RASMI TAREHE 30 AGOSTI 2023 HADI 01 SEPTEMBA 2023.

MASHINDANO YA KUMTAFUTA BINGWA WA DRAFT TANZANIA 2023



WASHIRIKI

KUNDI A
Sisco
Gaby
Monster
Dogo shuku
Ngapulila

KUNDI B
Dilima
Digi Digi
Aradini
Dogo yassin
Matongo

KUNDI C
Noel
Mwasapile
Mbeya city
Dogo janja
Mawazo

KUNDI D
Mamba
Keny hisabati
Nungwi
Gaidi
Hemed Arusha

KUNDI E
Rama Arusha
Dany Mbeya
Dogo Athuman
Kwata mwivi
Lissu

KUNDI F
kiwembe
Stive Mbeya
Dogo Hans
Rama singida
Dogo Ally

KUNDI G
Simba Dom
Shaban Mbeya
John kipaji
Kili mnyama
Zaidi

KUNDI H
Nduli
Babu songea
Amani Siri
Hussein tanga
Kavimba

16 BORA
A1 vs E2
D1 vs. H2
B1 vs. F2
C1 vs G2
E1 vs A2
H1 vs D2
F1 vs B2
G1 vs C2

Robo fainali
Mshindi 1 vs 2
Mshindi 3 vs 4
Mshindi 5 vs 6
Mshindi 7 vs 8

Nusu fainali
R1 vs R2
R3 vs R4

Mshindi wa 3
Fainali

Zawadi
1. 2,000,000/=
2. 1,000,000
3. 500,000


View attachment 2733910


Robo fainali
View attachment 2734207
Mshindi anapewa zawadi gani?

Vigezo vya kushiriki ni vipi?

Wanacheza michezo mingapi mingapi?
 
Hawa watu mna wajulia wapi?
Dogo Shuku yupo Manyanya pale ukifika mida ya night utamuona anacheza pool

Ila hapa kuna mafundi wanne waliofika nusu

Kutoka mkono wa kushoto huyo aliyevaa koti la njano ni Sisco, anafuatia Nduli anakuja Noel wa mwisho ni Ronaldo

Ronaldo anatarajiwa kukutana na Noel kesho kwenye fainali baada ya kumtoa Sisco

IMG-20230831-WA0092.jpg
 
Dogo Shuku yupo Manyanya pale ukifika mida ya night utamuona anacheza pool

Ila hapa kuna mafundi wanne waliofika nusu

Kutoka mkono wa kushoto huyo aliyevaa koti la njano ni Sisco, anafuatia Nduli anakuja Noel wa mwisho ni Ronaldo

Ronaldo anatarajiwa kukutana na Noel kesho kwenye fainali baada ya kumtoa Sisco

View attachment 2735096
Mshindi anapewa zawadi gani? Vigezo vya kushiriki ni vipi?
Gharama ya usafiri kwa watu wanaoishi mbali na hiyo sehemu panapofanyika mashindano ni ya nani?
 
Mshindi anapewa zawadi gani? Vigezo vya kushiriki ni vipi?
Gharama ya usafiri kwa watu wanaoishi mbali na hiyo sehemu panapofanyika mashindano ni ya nani?
Gharama za usafiri, malazi, chakula zote zinakuwa ni juu ya host ambaye ni Steve

Mshindi wa kwanza anachukua 2M wapili 1M na watatu anachukua 500K
 
Gharama za usafiri, malazi, chakula zote zinakuwa ni juu ya host ambaye ni Steve

Mshindi wa kwanza anachukua 2M wapili 1M na watatu anachukua 500K
Vigezo vya kushiriki ni vipi? Wachezaji wanatoa kiasi gani kama kiingilio?
 
Back
Top Bottom