Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fainali inakaribia kuanza, mechi ya mshindi wa tatu pia itachezwa muda sawa.
Si kila mtu anayekunywa kahawa hana ajira mkuu.Bora wazee wa kahawa wapate ajira.
Ndoo ya nduli.. kumfunga Noel sio kazi ndogo, sijui kamuotea wapi[emoji37]
Mkuu shukrani sana kwa hii picha ya hawa viumbe.. Ukisikia Issa mamba unaeza ukajua jamaa yupo kama mamba kweli, kumbe chalii tu
😀😀😀 nduli kumbe nae mamba nilimuona siku anachakazwa na sisqo manyanya pale nikajua sio mkali sana.Aka Meno ya Mamba, maana ukiingia kwenye ngoma zake ni sawa na kuingia kwenye meno ya Mamba.
Nduli dodoma wanamfahamu vizuri sana, dah Ronaldo ameshindwa kuingia hata fainal namkumbuka Sana marehemu mchafu jamaa alikuwa mchafu kweli kwenye hayo mabauna aka ngwatu[emoji3][emoji3][emoji3] nduli kumbe nae mamba nilimuona siku anachakazwa na sisqo manyanya pale nikajua sio mkali sana.
😀😀😀 nduli kumbe nae mamba nilimuona siku anachakazwa na sisqo manyanya pale nikajua sio mkali sana.
Nduli mzigo wake huo ameenda kwa mganga kuroga, siku ile alisema akwenda popote😀😀Nduli Ndulima aka Mkata Shombo anaongoza 2 - 1.
Mchezo wa 1 kwenye kuanzishiana, 14 ya kwanza imeisha 1 - 1.
Mkuu tunaweza kupata video ya mabigwa uko youtube1 - 1; Game ya 14 iko.
Duh hiyo fainali kweli mzeeIssa Mamba anasawazisha, ngoma iko 2 - 2.
Any updates Mr Darius RRIssa Mamba anasawazisha, ngoma iko 2 - 2.
Any updates Mr Darius RR
Duh hyo km huwez fikir haraka umeenda na maji.Ngoja iko 2 - 2.
Game ya 4 kwenye kuanzishiana.
Zikiisha 6 itakuwa kuanzishiana lakini kufikiria sekunde 10 tu, golden goal. Ukifa mchezo umeisha.
Duh hyo km huwez fikir haraka umeenda na maji.