Mashindano ya Drafti kitaifa

Mashindano ya Drafti kitaifa

Itabid ntoke huku zenj kwa muda ili nije nishuhudie huo mtanange. Maana draft ndio ugonjwa wangu…hahah

Zanzibar kuna mabingwa wawili huwa wanashiriki mashindano haya, Bingwa wa Nungwi na Monster, sina uhakika kama watakuwepo.

Nitatoa updates za muda na makundi.
 
Aisee kesho kuna game kweli?

Game zimechezwa juzi na jana.

Nusu fainali na fainali zitacheza Jumapili.

Walioingia nusu ni Dogo Sisqo, Amani Siri, Nduli na Dogo Yasini.

Hatua ya nane bora matokeo;-
Dogo Sisqo alimfunga Ali White 2 - 0, Nduli alimfunga Dogo Athumani 2 - 1, Dogo Yasini alimfunga Omary Kiwembe 2 - 1 na Amani Siri alimfunga dogo Shukuru 2 - 1.

Ronaldo na Noel hawakushiriki.

Issa Meno ya Mamba alishiriki ila hakuvuka kwenye makundi.
 
Game zimechezwa juzi na jana.

Nusu fainali na fainali zitacheza Jumapili.

Walioingia nusu ni Dogo Sisqo, Amani Siri, Nduli na Dogo Yasini.

Hatua ya nane bora matokeo;-
Dogo Sisqo alimfunga Ali White 2 - 0, Nduli alimfunga Dogo Athumani 2 - 1, Dogo Yasini alimfunga Omary Kiwembe 2 - 1 na Amani Siri alimfunga dogo Shukuru 2 - 1.

Ronaldo na Noel hawakushiriki.

Issa Meno ya Mamba alishiriki ila hakuvuka kwenye makundi.
Yassin katoboa safari hii dogo ana kua sana kwenye mabao..
 
Dogo kakua sasa,

Ronaldo CR7 aka De Lima, aka Scientist, aka Field Marshal karudi tena dimbani.

Juzi alikuwa na game na Dogo Sisqo, dau 300,000 (winner takes it all), Dogo Sisqo alishinda goli 5 kwa 1.

Jana CR7 alikiwasha na Shabani Katoto (Ngapu), CR7 alishinda 3 kwa 1.

Jumatano tar 5 January 2022 ni zamu ya CR7 vs Nduli Ndulima aka Mkata Shombo.

Venue ni Manyanya.
 
Ronaldo CR7 aka De Lima, aka Scientist, aka Field Marshal karudi tena dimbani.

Juzi alikuwa na game na Dogo Sisqo, dau 300,000 (winner takes it all), Dogo Sisqo alishinda goli 5 kwa 1.

Jana CR7 alikiwasha na Shabani Katoto (Ngapu), CR7 alishinda 3 kwa 1.

Jumatano tar 5 January 2022 ni zamu ya CR7 vs Nduli Ndulima aka Mkata Shombo.

Venue ni Manyanya
Hii itakua jioni tu hii ngoja tusogee hapo
 
Ronaldo CR7 aka De Lima, aka Scientist, aka Field Marshal karudi tena dimbani.

Juzi alikuwa na game na Dogo Sisqo, dau 300,000 (winner takes it all), Dogo Sisqo alishinda goli 5 kwa 1.

Jana CR7 alikiwasha na Shabani Katoto (Ngapu), CR7 alishinda 3 kwa 1.

Jumatano tar 5 January 2022 ni zamu ya CR7 vs Nduli Ndulima aka Mkata Shombo.

Venue ni Manyanya.
Ronaldo mbona anafungwafungwa sana siku hizi?, watu hawaangalii jina.

Hapa Dodoma, Wanasema kwamba wachezaji wakubwa wanapatikana vijiwe vya Chabela Camp na barabarani soko la Majengo kituo cha bodaboda, nimehudhuria vijiwe hivyo mara kadhaa nione uchezaji wao lakini nimeambulia patupu, sijamwona hata mchezaji mmoja.

Halafu nasikia mitaa ya bungeni karibu na Hotel 56, kwenye ghorofa jekundu lililokuwa halitumiki, kuna kijiwe cha drafti cha mabingwa wa ngazi ya wilaya, nitakwenda kujihakikishia kwa macho yangu kama kweli kipo.
 
Ronaldo mbona anafungwafungwa sana siku hizi?, watu hawaangalii jina.

Hapa Dodoma, Wanasema kwamba wachezaji wakubwa wanapatikana vijiwe vya Chabela Camp na barabarani soko la Majengo kituo cha bodaboda, nimehudhuria vijiwe hivyo mara kadhaa nione uchezaji wao lakini nimeambulia patupu, sijamwona hata mchezaji mmoja.

Halafu nasikia mitaa ya bungeni karibu na Hotel 56, kwenye ghorofa jekundu lililokuwa halitumiki, kuna kijiwe cha drafti cha mabingwa wa ngazi ya wilaya, nitakwenda kujihakikishia kwa macho yangu kama kweli kipo.

Ronaldo alipumzika kwa muda, sasa hivi anarudi tena.

Draft ukikaa mwezi tu kurudi lazima ukutane na vipigo kwa wiki za mwanzo mpaka ukae sawa tena.

Dom kuna mabingwa mzee, Simba wa Dom, Kata Mwivi, Ronaldo mwenyewe makazi yake ni huko, tafuta vijiwe utawaona.
 
Ronaldo CR7 aka De Lima, aka Scientist, aka Field Marshal karudi tena dimbani.

Juzi alikuwa na game na Dogo Sisqo, dau 300,000 (winner takes it all), Dogo Sisqo alishinda goli 5 kwa 1.

Jana CR7 alikiwasha na Shabani Katoto (Ngapu), CR7 alishinda 3 kwa 1.

Jumatano tar 5 January 2022 ni zamu ya CR7 vs Nduli Ndulima aka Mkata Shombo.

Venue ni Manyanya.
Tupe direction kamili tuje leo
 
Ronaldo alipumzika kwa muda, sasa hivi anarudi tena.

Draft ukikaa mwezi tu kurudi lazima ukutane na vipigo kwa wiki za mwanzo mpaka ukae sawa tena.

Dom kuna mabingwa mzee, Simba wa Dom, Kata Mwivi, Ronaldo mwenyewe makazi yake ni huko, tafuta vijiwe utawaona.
Dom kuna mabingwa, kuwafuma wakicheza ndiyo ishu

Playok nilimwona Ronaldo akicheza kwa kutumia guest account, jamaa anapiga, aliwapiga jamaa wanaojisifu fastafasta, akacheza na mkulima akapigwa 5-0, huyu mkulima ni hatari.

Mabingwa ngazi ya wilaya na mkoa playok point zao zinaanzia 1450+, ukiweza ku-maintain range ya point hizo, basi wewe ni mchezaji mkubwa. Playok kuna wachezaji wakubwa maarufu sema hawajitaji, waliojitaja wachache tu, Simba wa Dom, Ronaldo na Dogo Hamisi wa Kiwalani.
 
Dom kuna mabingwa, kuwafuma wakicheza ndiyo ishu

Playok nilimwona Ronaldo akicheza kwa kutumia guest account, jamaa anapiga, aliwapiga jamaa wanaojisifu fastafasta, akacheza na mkulima akapigwa 5-0, huyu mkulima ni hatari.

Mabingwa ngazi ya wilaya na mkoa playok point zao zinaanzia 1450+, ukiweza ku-maintain range ya point hizo, basi wewe ni mchezaji mkubwa. Playok kuna wachezaji wakubwa maarufu sema hawajitaji, waliojitaja wachache tu, Simba wa Dom, Ronaldo na Dogo Hamisi wa Kiwalani.

Mabingwa wanaogopa kukaguliwa miguu yao, ndo maana playok hawajitaji.

Hizo 1450+ kuzimaintain inabidi uwe mwamba kweli.
 
Tupe direction kamili tuje leo

Ukifika Kinondoni Manyanya ulizia mahali kilipo Chuo Kikuu cha Draft Tanzania (Manyanya Draft College).

Ni barabarani tu unaoneshwa.
 
Back
Top Bottom