Montserrat
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 10,938
- 14,745
Huyu dada mtanzania hata akishindwa she deserves zawadi, snatuwakilisha vyema. Matanga is now struggling
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaitwa Alphonse Felix Simbu ni mwanaume na mkimbiaji wa mbio ndefu.Nami mkuu ninafuatilia ,huyu mwakilishi wetu she is doing very well,go Tanzania [emoji1241] go,na bado anaonekana she got a lot on her tank, Matanga go keep up with the lead group plsssssss
No mkuu u totally misunderstood me,mimi nipo kwenye women commonwealth marathon!,na mpaka sasa (6kms to go),dada yetu yupo no 4,na kuna gap ya to close up na leading group lenye wanariadha kutoka namibia, Kenya na AustraliaAnaitwa Alphonse Felix Simbu ni mwanaume na mkimbuaji wa mbio ndefu.
Kwa hiyo Simbu amechukua medali ya fedha?Sio mbaya Uganda wamechukua
Ukweli mchungu...Tanzania tuna:-
1. Simba SC Tanzania
2. Diamond Platnumz
3. Hassan Mwakinyo
4. Simbu
5. Mbwana Samatta.
Over kama umenisoma.
Hahahahà nakuelewa saanaNi Wa mkoa gani huyuu!? Kama ni kaskazini ni mkenya mkimbizi tuhh!!
Una point kubwa sana sana na ni aibu kwa nchi, muda huu Tanza-nia na Somali wako kiwanjani, hakuna TV yoyote ya SERIKALI inayorusha ukiacha AzamTanzania Tv gani ilikuwa inaonyesha live mashindano hayo maana Tv zote za Kenya kama kuna mkimbiaji yoyote anaiwakilisha nchi yao zinakatisha matangazo na kuonyesha live ili wananchi washuhudie? Au tv zetu kucha kutwa ni havari za kufungiwa manara na uzinduzi wa jezi mpya?
Kuna mtu kashika namba sita juzi marathoni ya dunia Simbu hatii mguu pale , lakini hakuna mtu anayemjua wala kumwongelea tupo bize na utopolo na makoloTanzania tuna:-
1. Simba SC Tanzania
2. Diamond Platnumz
3. Hassan Mwakinyo
4. Simbu
5. Mbwana Samatta.
Over kama umenisoma.
Kwa hiyo akishindwa ndio anakuwa mtanzania halisi, wewe kweli ni utopolo.Ni Wa mkoa gani huyuu!? Kama ni kaskazini ni mkenya mkimbizi tuhh!!
Haki za MatangazoTanzania Tv gani ilikuwa inaonyesha live mashindano hayo maana Tv zote za Kenya kama kuna mkimbiaji yoyote anaiwakilisha nchi yao zinakatisha matangazo na kuonyesha live ili wananchi washuhudie? Au tv zetu kucha kutwa ni havari za kufungiwa manara na uzinduzi wa jezi mpya?