benny gilbert
Senior Member
- Jul 4, 2018
- 110
- 65
Habari wana JF. Bado natamani kufanya mashindano ya waandishi na kupata pesa, round hii nakuja na FORUMS kama JAMIIFORUMS ila yenyewe inakuwa kama group la facebook linavyofanya kazi wasomaji hawapost threads zaidi ya kucomment na kulike.
Waandishi wanakuwa kama MODERATOR facebook group inavyofanya kazi. Wanashindana LIKES kwenye POST ZAO. Ninakuwa natoa idadi ya LIKES kila mwezi wao wanapost vipande vyao vya hadithi kama wanavyofanya kwenye magroup ya fb kama njia ya kutafuta wasomaji wa kununua hadithi zao.
Vipande vya hadithi ni 20 tu kwa kila mwandishi na kwa kila hadithi, na inakuwa rahisi sana msomaji kumvisoma vipande vyote kwa urahisi inakuwa sio kama fb group vipande vinakuwa ni ngum kumvisoma kama umechelewa. Lengo ni kukuza jina ya mwandishi na kupata pesa. Mwandishi mwenye LIKES nyingi au alifikisha LIKES nilizoweka kwa mwezi ndio mshindi.
Hii pia itakuwa chachu kwa waandishi kuandika hadithi nzuri kwa lengo la kushindana na kupata pesa na kujenga jina miongoni mwao. Pia utapata wateja wa kununua hadithi zako kwa kuwa una hadithi nzuri na za kusisimua. BEST LIKES AUTHOR. Likes zinahesabiwa kwa hadithi zote unazopost , kwakuwa anapost sehemu moja ni rahisi kuhesabu , angalia hadithi zinavyopostiwa JAMIIFORUMS, ni rahis kusoma hadithi ya zamani yote bila kukosa kipande hata kimoja yote hiyo kwasababu zinapostia sehemu moja.
HII NI IDEA NIMEPATA JANA USIKU SANA , NINI MAONI YAKO , SHAURI WAKO KUHUSU HAYA MASHINDANO; JE YATASAIDIA KUKUZA UANDISHI NA KUBADILISHA MAISHA YAO?
Waandishi wanakuwa kama MODERATOR facebook group inavyofanya kazi. Wanashindana LIKES kwenye POST ZAO. Ninakuwa natoa idadi ya LIKES kila mwezi wao wanapost vipande vyao vya hadithi kama wanavyofanya kwenye magroup ya fb kama njia ya kutafuta wasomaji wa kununua hadithi zao.
Vipande vya hadithi ni 20 tu kwa kila mwandishi na kwa kila hadithi, na inakuwa rahisi sana msomaji kumvisoma vipande vyote kwa urahisi inakuwa sio kama fb group vipande vinakuwa ni ngum kumvisoma kama umechelewa. Lengo ni kukuza jina ya mwandishi na kupata pesa. Mwandishi mwenye LIKES nyingi au alifikisha LIKES nilizoweka kwa mwezi ndio mshindi.
Hii pia itakuwa chachu kwa waandishi kuandika hadithi nzuri kwa lengo la kushindana na kupata pesa na kujenga jina miongoni mwao. Pia utapata wateja wa kununua hadithi zako kwa kuwa una hadithi nzuri na za kusisimua. BEST LIKES AUTHOR. Likes zinahesabiwa kwa hadithi zote unazopost , kwakuwa anapost sehemu moja ni rahisi kuhesabu , angalia hadithi zinavyopostiwa JAMIIFORUMS, ni rahis kusoma hadithi ya zamani yote bila kukosa kipande hata kimoja yote hiyo kwasababu zinapostia sehemu moja.
HII NI IDEA NIMEPATA JANA USIKU SANA , NINI MAONI YAKO , SHAURI WAKO KUHUSU HAYA MASHINDANO; JE YATASAIDIA KUKUZA UANDISHI NA KUBADILISHA MAISHA YAO?