Noma sana, kuna structures pale kwenye ule mto na mnara wa chuma, picha zikichukuliwa kutokea angani unaona kabisa ni kwa namna gani jamaa wametuacha kwenye mambo ya kupangilia miji.Kuna economist alisema developing countries zinakua taratibu sana hatutakuja fikia nchi zilizoendelea bali gap itaendelea kuwa kubwa na nilijisikia vibaya sana aliposema hivyo ila kwa kweli ukiangalia miji ya Paris na Versailles yalivyopangwa tangia miaka hio bila shaka unaona kwa ukuaji wetu huu hatutoboi karne hii wala ijayo. Unashindwa kabisa kubisha .
Yeah mimi niliiona kwenye mashindano ya farasi. Mji wa Versailles background yake aisee dah! Acha tu.Noma sana, kuna structures pale kwenye ule mto na mnara wa chuma, picha zikichukuliwa kutokea angani unaona kabisa ni kwa namna gani jamaa wametuacha kwenye mambo ya kupangilia miji.
Niliangalia kwa makini ile siku ya mbio ndefu za baiskeli na marathon.
Jamaica mwaka huu kweli hawajafanya vzrTimu yangu Jamaica mwaka huu wametuangusha.
Hta kuruka tu kwny michanga jmnHivi hawa mabaunsa wetu wanshindwa kwenda kunyanyua vyuma wachukue medals?
Vipi kurusha mkuki,
Vipi mieleka,
Vipi wale ma dancer,
Vipi wale wa Judo,
Vipi wale wa kurusha tufe,
Au kuruka kwa upondo,
Vipi wale wa Volleyball,
Michezo ni mingi sana ya kuchukua medals, tunakwama wapi sisi?
Wenzetu wako mbali sanaaaa.. mipangilio ya miji yao, usafi,Kuna economist alisema developing countries zinakua taratibu sana hatutakuja fikia nchi zilizoendelea bali gap itaendelea kuwa kubwa na nilijisikia vibaya sana aliposema hivyo ila kwa kweli ukiangalia miji ya Paris na Versailles yalivyopangwa tangia miaka hio bila shaka unaona kwa ukuaji wetu huu hatutoboi karne hii wala ijayo. Unashindwa kabisa kubisha .
Yaaa kwenye 20’s Km alionyesha kuanza kuchoka.. waethiopia na wakenya aisee wanakazaMbongo wetu kashaanza tepeta
Olympic tunakamilisha leo, baada ya mwezi ukiona kimya jua ndo basi na tutaulizana tena maswali haya baada ya miaka minneHivi hawa mabaunsa wetu wanshindwa kwenda kunyanyua vyuma wachukue medals?
Vipi kurusha mkuki,
Vipi mieleka,
Vipi wale ma dancer,
Vipi wale wa Judo,
Vipi wale wa kurusha tufe,
Au kuruka kwa upondo,
Vipi wale wa Volleyball,
Michezo ni mingi sana ya kuchukua medals, tunakwama wapi sisi?
Wako vizuri sana, alafu kuna hiki chuma cha kinetherlands Sifan HassanYaaa kwenye 20’s Km alionyesha kuanza kuchoka.. waethiopia na wakenya aisee wanakaza
Wanaweza. Wanakosa training tuHivi hawa mabaunsa wetu wanshindwa kwenda kunyanyua vyuma wachukue medals?
Vipi kurusha mkuki,
Vipi mieleka,
Vipi wale ma dancer,
Vipi wale wa Judo,
Vipi wale wa kurusha tufe,
Au kuruka kwa upondo,
Vipi wale wa Volleyball,
Michezo ni mingi sana ya kuchukua medals, tunakwama wapi sisi?
Kwa mfano naniKenya wana athletes wengi wanaowakilisha nchi za kigeni kwa sababu ya utitiri wa wakimbiaji mahiri hapo kenya
EtiHta kuruka tu kwny michanga jmn
Wengi tu wapo bahrain na nchi zingineKwa mfano nani
Majeshi , hii michezo Itiliwe mkazoWanaweza. Wanakosa training tu
Ndio. Ndio maana kuna michezo fulani wanashinda wachina, wakorea na Wajapan tu. Michezo mingine wanashinda wakenya+ waethiopia tuKwaio sisi tuna maumbile mabovu ambayo sio ya kimichezo..
Olympic tunakamilisha leo, baada ya mwezi ukiona kimya jua ndo basi na tutaulizana tena maswali haya baada ya
Huyo wa Netherlands 🇳🇱 anajitahidiWako vizuri sana, alafu kuna hiki chuma cha kinetherlands Sifan Hassan
5Km na 10km zote kachukua bronze, nq hio naamini bronze anapataHuyo wa Netherlands 🇳🇱 anajitahidi