Mashindano ya Olimpiki Ufaransa 2024

Mashindano ya Olimpiki Ufaransa 2024

Kuna economist alisema developing countries zinakua taratibu sana hatutakuja fikia nchi zilizoendelea bali gap itaendelea kuwa kubwa na nilijisikia vibaya sana aliposema hivyo ila kwa kweli ukiangalia miji ya Paris na Versailles yalivyopangwa tangia miaka hio bila shaka unaona kwa ukuaji wetu huu hatutoboi karne hii wala ijayo. Unashindwa kabisa kubisha .
Noma sana, kuna structures pale kwenye ule mto na mnara wa chuma, picha zikichukuliwa kutokea angani unaona kabisa ni kwa namna gani jamaa wametuacha kwenye mambo ya kupangilia miji.

Niliangalia kwa makini ile siku ya mbio ndefu za baiskeli na marathon.
 
Noma sana, kuna structures pale kwenye ule mto na mnara wa chuma, picha zikichukuliwa kutokea angani unaona kabisa ni kwa namna gani jamaa wametuacha kwenye mambo ya kupangilia miji.

Niliangalia kwa makini ile siku ya mbio ndefu za baiskeli na marathon.
Yeah mimi niliiona kwenye mashindano ya farasi. Mji wa Versailles background yake aisee dah! Acha tu.
 
Hivi hawa mabaunsa wetu wanshindwa kwenda kunyanyua vyuma wachukue medals?
Vipi kurusha mkuki,
Vipi mieleka,
Vipi wale ma dancer,
Vipi wale wa Judo,
Vipi wale wa kurusha tufe,
Au kuruka kwa upondo,
Vipi wale wa Volleyball,
Michezo ni mingi sana ya kuchukua medals, tunakwama wapi sisi?
 
Hivi hawa mabaunsa wetu wanshindwa kwenda kunyanyua vyuma wachukue medals?
Vipi kurusha mkuki,
Vipi mieleka,
Vipi wale ma dancer,
Vipi wale wa Judo,
Vipi wale wa kurusha tufe,
Au kuruka kwa upondo,
Vipi wale wa Volleyball,
Michezo ni mingi sana ya kuchukua medals, tunakwama wapi sisi?
Hta kuruka tu kwny michanga jmn
 
Kuna economist alisema developing countries zinakua taratibu sana hatutakuja fikia nchi zilizoendelea bali gap itaendelea kuwa kubwa na nilijisikia vibaya sana aliposema hivyo ila kwa kweli ukiangalia miji ya Paris na Versailles yalivyopangwa tangia miaka hio bila shaka unaona kwa ukuaji wetu huu hatutoboi karne hii wala ijayo. Unashindwa kabisa kubisha .
Wenzetu wako mbali sanaaaa.. mipangilio ya miji yao, usafi,
 
Hivi hawa mabaunsa wetu wanshindwa kwenda kunyanyua vyuma wachukue medals?
Vipi kurusha mkuki,
Vipi mieleka,
Vipi wale ma dancer,
Vipi wale wa Judo,
Vipi wale wa kurusha tufe,
Au kuruka kwa upondo,
Vipi wale wa Volleyball,
Michezo ni mingi sana ya kuchukua medals, tunakwama wapi sisi?
Olympic tunakamilisha leo, baada ya mwezi ukiona kimya jua ndo basi na tutaulizana tena maswali haya baada ya miaka minne
 
Hivi hawa mabaunsa wetu wanshindwa kwenda kunyanyua vyuma wachukue medals?
Vipi kurusha mkuki,
Vipi mieleka,
Vipi wale ma dancer,
Vipi wale wa Judo,
Vipi wale wa kurusha tufe,
Au kuruka kwa upondo,
Vipi wale wa Volleyball,
Michezo ni mingi sana ya kuchukua medals, tunakwama wapi sisi?
Wanaweza. Wanakosa training tu
 
Mtanzania mmoja kachemka tumebaki na mmoja

Screenshot_20240811_105938_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom