Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio heat 1 ngoja tuendelee kusubiria zinazokuja..Namuangalia hapa kaka, round 1 heat 1 huyu anawaburuza mikimbio yote mpaka anabeba gold hapa
Pesa zipo Mkuu, shida ni vipaumbele tu, hizo pesa za kununua magoli ya Simba na Yanga huwa zinatokaga wapi? Vp za kuwapeleka Wasanii Nje ya Nchi, hili suala halihitaji hata msaada wa Wahisani.Wazo safi, hela sasa madawati tu shida
Women 200m final itakua yamoto sana wakata upepo wapo wakutoshaNdio heat 1 ngoja tuendelee kusubiria zinazokuja..
Kuna stor nimeskia ya jamaa wa kenya alimuacha mkewe wa ndoa tena kwa kejeli baada ya kupata umaarufu kwenye michezo ya dunia iliyopita akpata gold , leo yuko final sprinter mita 100 nadhani, naona wakenya wanasubiria
magoli yw ubaya ibwela yananunuliwa🤣Pesa zipo Mkuu, shida ni vipaumbele tu, hizo pesa za kununua magoli ya Simba na Yanga huwa zinatokaga wapi? Vp za kuwapeleka Wasanii Nje ya Nchi, hili suala halihitaji hata msaada wa Wahisani.
Tuna Nchi kibao rafiki, tunaongea nao tu tunawapeleka Walimu wetu wa michezo huko, kwa Program ya miaka miwili tu, itatutosha sana, ina maana baada ya miaka 8 tutaweza kuona matokea.
Siyo sahihi kwa maana michezo ya olympic kwa Azam inaoneshwa kupitia ZBC 2 kila siku. Yale ya kuendesha baiskeli waliyaonesha kupitia UTV mwanzo mwishoAZAM wanasikilizia bombani hadi big brother hawana wao wanafilamu za kibongo zenye uwezo wa HD NA CHANNELI YA WANYAMA
Itakua noma sana mkuu...lucia ana kazi mrembo wangu yule[emoji1]Women 200m final itakua yamoto sana wakata upepo wapo wakutosha
Heat 6 kuna mnigeria na gambia wamepita. Tukutane kesho semi finalItakua noma sana mkuu...lucia ana kazi mrembo wangu yule[emoji1]
Naangalia heat 5, LT THOMAS kazuri jaman [emoji39]
Hakuna mnajiteteaSiyo sahihi kwa maana michezo ya olympic kwa Azam inaoneshwa kupitia ZBC 2 kila siku. Yale ya kuendesha baiskeli waliyaonesha kupitia UTV mwanzo mwisho
Watu mnaotumia azam mnatakaga vitu vikubwa kwa bei ndogoHakuna mnajitetea
Acha ubishi sema hujalipia kifurushi. Hiyo hapo ni nini? Hapo ni basketball ya Nigeria na Canada inaendelea channel 406Hakuna mnajitetea
Watu mnaotumia azam mnatakaga vitu vikubwa kwa bei ndogo
Mara nyingi ndo hiwa wanafanya hivo, wanashinda kufanya comparison na dstv
Hizi kilometer 20 mbona Wabongo wengi tu wanatembea kila siku kwa kukosa nauli? Tena kwenda na kurudi.Nimeifuatilia woman and man walking 20km aisee sio nyepesi kama wanavyoiona.. nahisi kama sio mzoefu miguu lazima iume haswa nyayo, kuna walioshindwa kumaliza
Kuna mualgeria hapa kazi kazi huyu dogoArtistic gymnastic
algeria Gold, women uneven barsKuna mualgeria hapa kazi kazi huyu dogo
Kuna vinchi vidogo ambavyo nadhani kiuchumi tunawazidi lakini wanaonyesha ushindani. Sisi tumewekeza zaidi kwenye footballHii nchi ya ajabu Sana. Nchi Ina watu zaidi ya elfu sitini hatumuoni mbongo hata mmoja? Yaani hizi Simba na YANGA watu wanajaa kwenye matamasha Yao lakini hatuendi kupeperusha bendera ugenini? Tunazidiwa mpaka na ka Taifa Cha juzi Cha sudani ya kusini?