Lax
JF-Expert Member
- Feb 10, 2022
- 4,740
- 7,179
Yeah, bado tunawasubiri kwenye divingHahahah wachina nao wana michezo yao… kama ile acrobatic ya kwenye maji(ke) wameshinda wachina, wakafuatia marekani then Spain
Race ya gold bado ipo open
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah, bado tunawasubiri kwenye divingHahahah wachina nao wana michezo yao… kama ile acrobatic ya kwenye maji(ke) wameshinda wachina, wakafuatia marekani then Spain
Hivo vipaji viko wapi mkuu? Wanaonekana hata kwenye mashindano ya ndani?
Jana visiwa vya Saint Lucia imeshukua dhahabu women 100m mbio, na hii ndo medali yao ya kwanza kwa historia ya nchi yao. Mwaka huu wanawachezaji 5.
Huyu demu leo saa 5 na robo yupo tena kwenye 200 m
Anasepa kama upepo
India wako kwenye kUrusha mkuki utawaona tu kaka wala usijaliMiaka yote ndio hua anaongoza kwenye uogeleaji. Ni dominant kwenye hilo eneo.
Kwa sasa naona anapata upinzani mkali sana toka China, Japan, Australia na nchi za Ulaya.
India nchi ina watu 1.4b lakini hakuna chochote cha maana wanafanya.
South Sudan ina timu bomba sana ya basketball.
Fred Omanyala Nasikia ameshindwa semi finals alichoka sass sijui shida nn final kachukua lyles(usa) dhidi ya mpinzani wake kishane thompson wanjamaicaNdio heat 1 ngoja tuendelee kusubiria zinazokuja..
Kuna stor nimeskia ya jamaa wa kenya alimuacha mkewe wa ndoa tena kwa kejeli baada ya kupata umaarufu kwenye michezo ya dunia iliyopita akpata gold , leo yuko final sprinter mita 100 nadhani, naona wakenya wanasubiria
ChopraIndia wako kwenye kUrusha mkuki utawaona tu kaka wala usijali
Laana mkuu hio, ya kumuacha mkewe kwa dharau kubwa na kejeli sababu ni supastaa alivyoanza kua staa na kumchukua mwanamke mwingineFred Omanyala Nasikia ameshindwa semi finals alichoka sass sijui shida nn final kachukua lyles(usa) dhidi ya mpinzani wake kishane thompson wanjamaica
Jamaa simpendi, anajiskia sana, hata siku ya medali , mjamaika alikua anamshangaa, liko kama chizi, leo tebogo kamuonesha, kaishia kukaa kimya tu, hakuna cha kusevu energy mkuu, hizo mbio za final sijui ngoja tuoneNaona Tebogo 2nd semi finals kamcharaza lyles wengi wanasema lyles ana save energy for the final round ngoja tuone.....
Tarehe 10 marathonAhh sawa mkuu
India wana medali 3 za bronze kwenye shooting (kulenga shabaha)Miaka yote ndio hua anaongoza kwenye uogeleaji. Ni dominant kwenye hilo eneo.
Kwa sasa naona anapata upinzani mkali sana toka China, Japan, Australia na nchi za Ulaya.
India nchi ina watu 1.4b lakini hakuna chochote cha maana wanafanya.
South Sudan ina timu bomba sana ya basketball.
Tanzania cheki kesho kutwa kwenye marathon. Mashindano ya marathon yamekuwa mengi sana hapa nchni labda mwaka huu tunaweza kupata hata medali mojaView attachment 3061116
Kila nikitafta olympiki google inaniletea Tanzania medali zero.
Hadi jana China alikua anaongoza kwa gold akiwa nazo 13 akifuatiwa na Australia na France. Marekani alikua na 9. Ghalfa leo Marekani ana 14 na soon atampiga mchina.
Olympic ndio sports season pekee hua napenda kuangalia kwa sababu mimi sio fan wa football. Napenda kuogelea, kukimbia, kutembea, kuendesha baiskeli kulenga shabaha na michezo mingine.
Kesho sa ngapi mkuu? Olimpiki ama mengine?Tanzania cheki kesho kwenye marathon. Mashindano ya marathon yamekuwa mengi sana hapa nchni labda mwaka huu tunaweza kupata hata medali moja
Tanzania wana kimbia tarehe 10 na 11Tanzania cheki kesho kwenye marathon. Mashindano ya marathon yamekuwa mengi sana hapa nchni labda mwaka huu tunaweza kupata hata medali moja
Tarehe 10 na 11 ndo watakimbia both kwa wanaume na wanawake. Yes ni olympicKesho sa ngapi mkuu? Olimpiki ama mengine?
Kesho kutwa tarehe 10 saa 3 asubuhi marathon wanaume kilomita 21Kesho sa ngapi mkuu? Olimpiki ama mengine?
Hiyo nyepesi jkt ruvu wanafanya kila wikendNimeifuatilia woman and man walking 20km aisee sio nyepesi kama wanavyoiona.. nahisi kama sio mzoefu miguu lazima iume haswa nyayo, kuna walioshindwa kumaliza
Unadhani ni nyepesi kama usemavyo? Unadhani wanaiposition miguu kama tunavyotembea kawaida? Hutakiwi kulifit/ kunyayua mguuHiyo nyepesi jkt ruvu wanafanya kila wikend
Mkuu tuzo za maana ziko olimpiki. Hayo mengine ni mazoezi ya mwili lakini mashindano yako olimpiki.Kesho kutwa tarehe 10 saa 3 asubuhi marathon wanaume kilomita 21
Safi sana kwa updates mkuu.Tarehe 10 na 11 ndo watakimbia both kwa wanaume na wanawake. Yes ni olympic
Tunaweza tukafunikwa pia 😄Labda tutashiriki na kufanya vizuri kwenye Sex Olympics