Nazi Ignition
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 1,740
- 4,859
inatakiwa amalizie kwa kutambaaa mbona ataenda viralSafi sana na bado anapigiwa makofi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
inatakiwa amalizie kwa kutambaaa mbona ataenda viralSafi sana na bado anapigiwa makofi
Kijiji sio kidogo. Kulikua na nyomi ya maana inamsapoti kutembea na kukimbia kisha akapokelewa kimalkia. Safi sana.Amekusanya kijiji.
Viwanja vya michezo mashuleni vimeota nyasi na vichaka, watoto wanafungiwa madarasani usiku na mchana mpaka weekend wakitafuta thamani ya X; wengine waende wafaulu darasa zina; wengine waende shule za vipaji; wengine waondoe ziro; wengine wapate one wote, wengine shule iingie 10 bora kitaifa.tuanze kuwekeza kwenye facility za michezo. ikiwezekana mashuleni.
Elimu yetu sijui tulicopy wapiViwanja vya michezo mashuleni vimeota nyasi na vichaka, watoto wanafungiwa madarasani usiku na mchana mpaka weekend wakitafuta thamani ya X; wengine waende wafaulu darasa zina; wengine waende shule za vipaji; wengine waondoe ziro; wengine wapate one wote, wengine shule iingie 10 bora kitaifa.
Too much academics!!!!
Je nwanao anasalimika hapo?
China ndio wanausomaji wa hivyo japo wao wamefanikiwaElimu yetu sijui tulicopy wapi
MJERUMANI mwenye asili ya TANZANIA 🇹🇿Mjerumani huyu anaitwa Malaika Mihambo
View attachment 3064815
kama ulikuwa kwenye kichwa changu unahoja cijui wanakwama wapi nimeshangaa sana aiseeHabari wapenda michezo,
Nimefuatilia michezo ya olimpiki France 2024, naona kuna michezo mingi sana. Najiuliza kwa nini Tanzania hatupeleki washiriki kwenye michezo kama kuruka juu na chini, kurusha mkuki, kurusha tufe, ambayo sioni kama inahitaji vipaji sana. Kuna mchezo wa kutembea tu
Soma pia: Watanzania 7 kupeperusha Bendera ya Tanzania katika Olimpiki 2024 huko Paris
mbona tuna-enjoy angalia 451 au 199Najuta kununua startimes.
hawana chanel za Olympics
Kumbe nao ni kama sisi tuNigeria na wao wanaandamwa raia ni wengi ila wametoka bilabila olympic
Kifurushi cha bei gani?mbona tuna-enjoy angalia 451 au 199
Kuna MTANZANIA mwingine anabeba bendera ya JAMAIKA kwa upande wa kurusha MKUKI. Anaitwa MARIA MULIRO 🇯🇲[emoji3][emoji3][emoji3] amebeba bendera ya ujerumani mzee
Kuna MTANZANIA mwingine anabeba bendera ya JAMAIKA kwa upande wa kurusha MKUKI. Anaitwa MARIA MULIRO 🇯🇲
Hakuna jina hilo Jamaica teamKuna MTANZANIA mwingine anabeba bendera ya JAMAIKA kwa upande wa kurusha MKUKI. Anaitwa MARIA MULIRO 🇯🇲
Iran au AlgeriaBondia mwanamke wa Iran
View attachment 3060845
Yes Ni AlgeriaIran au Algeria
Aah! Labda yupo tim nyingine, siunajua huko mataifa ni mengi 🤣Hakuna jina hilo Jamaica team