Mashindano ya Quran kufanyika sehemu nyingine tarehe 17 mwezi wa nne?

Mashindano ya Quran kufanyika sehemu nyingine tarehe 17 mwezi wa nne?

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Wanabido, wote tunafahamu kuwa tarehe 17 mwezi wa nne kutakuwa na mashindano ya Quran uwanja wa mkapa.

Siku hiyo hiyo pia kutakuwa na mchezo kati ya Simba sc dhidi ya Orlando pirates ya south Africa hatua ya robo fainali caf confederation cup.

Je! Kuna uwezekano matukio haya mawili makubwa kufanyika siku moja? Kwa anayefahamu kwa undani kuhusu matukio haya mawili tunaomba atujuze.
 
Wanabido, wote tunafahamu kuwa tarehe 17 mwezi wa nne kutakuwa na mashindano ya Quran uwanja wa mkapa.

Siku hiyo hiyo pia kutakuwa na mchezo kati ya Simba sc dhidi ya Orlando pirates ya south Africa hatua ya robo fainali caf confederation cup.

Je! Kuna uwezekano matukio haya mawili makubwa kufanyika siku moja? Kwa anayefahamu kwa undani kuhusu matukio haya mawili tunaomba atujuze.
Pia kutakuwa na Easter
 
yes uwanja ni mmoja na kila tukio litafanyika kwa wakati
wake quran inaanza asubui hadi saa 6 na game ya simba na wale watt wa
jacob zuma game itapigwa usku...any qns??
 
Back
Top Bottom