Mashine inayopumulia CHADEMA kwa sasa ni kupinga kila kitu kwa sauti kubwa bila hivyo itapotea

Mashine inayopumulia CHADEMA kwa sasa ni kupinga kila kitu kwa sauti kubwa bila hivyo itapotea

The Phylosopher

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
1,968
Reaction score
2,957
Inavyoonekana harakati za kudai mageuzi ya kweli kupitia chadema zimeingia kwenye zama ngumu sana kuwahi kutokea katika taifa letu.

Kwa kadri ccm inavyobadilibadili ma dj wake na midundo ya muziki inavyogeuzwageuzwa, ni kama kuna namna wananchi wananogewa na mziki wao.

Nimefikia kufikiri hivi baada ya kuona vichwa vya habari vya magazeti ya leo karibia vyote isipokuwa Tanzania daima vinashabikia maridhiano.

Kwa msingi huo inabidi chadema wajikaze na kujitahidi kupinga Kwa nguvu zoote Kila mpango unaoletwa ili kupitia mgongo huo wajipambanue kwamba wao wako tofauti.

Sio hivyo tu hio hali ya kutokubaliana na kila kitu itaondoa Ile dhana kwamba wanalamba asali. Zaidi ya hilo unapopambana na mtu mashuhuri ni dhahiri na wewe unaongelewa kusomwa au kutazamwa.

Nimeangalia hata press wanazoitisha hivi karibuni ni kama zinadoda flani hivi, Kwa hiyo wanatakiwa wajitahidi kujitokeza kujibujibu tu ili wavute usikivu Kwa watu.

Vinginevyo naiona chadema kwenye mazingira magumu sana ya kisiasa hapa nchini.
 
1666585942267.png
 
Kama unaifahamu vizuri Chadema huwezi kudanganyika na vichwa vya magazeti

Chadema ni chama kilichoasisiwa na Wazee kwa ajili ya Vijana

Ogopa Sana Vyama vya sampuli hii bwashee na hasa Wakati wa Vijana kutawala utakapowadia!
 
Mbona mnawachagulia namna ya kufanya siasa? Kama wakiwa hovyo na wanaenda kufa, si ndio furaha yenu!
 
Kama unaifahamu vizuri Chadema huwezi kudanganyika na vichwa vya magazeti

Chadema ni chama kilichoasisiwa na Wazee kwa ajili ya Vijana

Ogopa Sana Vyama vya sampuli hii bwashee na hasa Wakati wa Vijana kutawala utakapowadia!
Kwani vichwa vya habari vya magazeti vinaandikwa na ccm?
 
Inavyoonekana harakati za kudai mageuzi ya kweli kupitia chadema zimeingia kwenye zama ngumu sana kuwahi kutokea katika taifa letu.

Kwa kadri ccm inavyobadilibadili ma dj wake na midundo ya muziki inavyogeuzwageuzwa, ni kama kuna namna wananchi wananogewa na mziki wao.

Nimefikia kufikiri hivi baada ya kuona vichwa vya habari vya magazeti ya leo karibia vyote isipokuwa Tanzania daima vinashabikia maridhiano.

Kwa msingi huo inabidi chadema wajikaze na kujitahidi kupinga Kwa nguvu zoote Kila mpango unaoletwa ili kupitia mgongo huo wajipambanue kwamba wao wako tofauti.

Sio hivyo tu hio hali ya kutokubaliana na kila kitu itaondoa Ile dhana kwamba wanalamba asali. Zaidi ya hilo unapopambana na mtu mashuhuri ni dhahiri na wewe unaongelewa kusomwa au kutazamwa.

Nimeangalia hata press wanazoitisha hivi karibuni ni kama zinadoda flani hivi, Kwa hiyo wanatakiwa wajitahidi kujitokeza kujibujibu tu ili wavute usikivu Kwa watu.

Vinginevyo naiona chadema kwenye mazingira magumu sana ya kisiasa hapa nchini.
Wafungueni mikono. Unajisifu kumpiga mtu uliyemfunga mikono?
 
Mwendazake aliongea zaidi ya haya kwamba itakufa kabisa nashangaa hata ww bado unaongea yaleyale na chadema bado ipo
Sijasema itakufa nacho sema ina hali mbaya tatizo humu mitandaoni na hasa jf Kuna wafia vyama wa kiwango cha sgr hawataki kusikia chochote kinachokosoa chama chao.
 
Kama ndivyo, kwa nini ccm wanaogopa sana Uchaguzi huru?

Chadema waliwahi kushinda uchaguzi kwenye majimbo zaidi 40 walishinda hayo kupitia uchaguzi gani?

Kwa nini tusizungumzie matatizo yaliyopo kwenye chama yanayowafanya wanachama wanakihama chama Kila kukicha?

Niliwahi kusema humu kwamba ccm wakivurugana wanaombana msamaha yanaisha ila wapinzani wakivurugana lazima wafukuzane.
Na hayo ndio yanaifanya ccm ionekane imekomaa ina uwezo wa kuvumilia mawazo tofauti ndani ya chama
 
Inavyoonekana harakati za kudai mageuzi ya kweli kupitia chadema zimeingia kwenye zama ngumu sana kuwahi kutokea katika taifa letu.

Kwa kadri ccm inavyobadilibadili ma dj wake na midundo ya muziki inavyogeuzwageuzwa, ni kama kuna namna wananchi wananogewa na mziki wao.

Nimefikia kufikiri hivi baada ya kuona vichwa vya habari vya magazeti ya leo karibia vyote isipokuwa Tanzania daima vinashabikia maridhiano.

Kwa msingi huo inabidi chadema wajikaze na kujitahidi kupinga Kwa nguvu zoote Kila mpango unaoletwa ili kupitia mgongo huo wajipambanue kwamba wao wako tofauti.

Sio hivyo tu hio hali ya kutokubaliana na kila kitu itaondoa Ile dhana kwamba wanalamba asali. Zaidi ya hilo unapopambana na mtu mashuhuri ni dhahiri na wewe unaongelewa kusomwa au kutazamwa.

Nimeangalia hata press wanazoitisha hivi karibuni ni kama zinadoda flani hivi, Kwa hiyo wanatakiwa wajitahidi kujitokeza kujibujibu tu ili wavute usikivu Kwa watu.

Vinginevyo naiona chadema kwenye mazingira magumu sana ya kisiasa hapa nchini.

Wewe sio wa kwanza uitabiria mabaya CHADEMA.
 
Chadema waliwahi kushinda uchaguzi kwenye majimbo zaidi 40 walishinda hayo kupitia uchaguzi gani?

Kwa nini tusizungumzie matatizo yaliyopo kwenye chama yanayowafanya wanachama wanakihama chama Kila kukicha?

Niliwahi kusema humu kwamba ccm wakivurugana wanaombana msamaha yanaisha ila wapinzani wakivurugana lazima wafukuzane.
Na hayo ndio yanaifanya ccm ionekane imekomaa ina uwezo wa kuvumilia mawazo tofauti ndani ya chama

Uchaguzi wa 2020 ulikuwa kiini macho. Kwani wewe hujui ndio maana laana yake ikaondoka na mwizi mkuu.
 
Back
Top Bottom