Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
[emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115]Shida ni bei, 700,0000 na ... ngoja nimwambie ajikusanye tu, mfano ukinunua halafu ukashindwa biashara, hakuna jinsi yakurudisha sokoni?
Mwenye kujua bei ya hizo mashine za EFD basi atuhabarishe na sisi wengine tupate faida na si mtu kutengeneza mazingira ya kufuatwa pm