Hapana What
Senior Member
- Dec 24, 2017
- 131
- 53
- Thread starter
-
- #21
Hapo karakana utahitaji ya kuchana,kuranda,kutoboa,kukereza,spindle na ya kutoboa mkuu hapo umemaliza weka mzigo tuu, hapo 20,000,000 nakutengenezea zoteYes hii unatengeneza wewe zote ? Nikitaka kufungua karakana mbao nifanye kila kitu ......machine zipi ???
Acha nije .....tuyajengeHapo karakana utahitaji ya kuchana,kuranda,kutoboa,kukereza,spindle na ya kutoboa mkuu hapo umemaliza weka mzigo tuu, hapo 20,000,000 nakutengenezea zote
Za kusaga plastic ya 60" ni 13,000,000 na ya 75" ni 15,000,000
Ya 60" motor 25hp
Ya 75 " motor 30hp
Asa nte brooMiongoni mwa matangazo bora kabisa jf. Lina details zote na maswali yanajibiwa in detail and on time. Bro umewahi kuishi kwa walami huko?
Maana kiswahiliswahili watu wangeuliza hadi wachoke without any reply. Hongera sana.
Inategemea na mahitaji ya mtumiaji kwa hizi tunazotengeneza ni za umeme za mafuta itapanda sababu gharama injini ya mafuta ndio itapelekea gharama yakeInatumia umeme tu au na dizel/petrol?
Unaweza kua na mashine kama hizo?Hivi ile set ya kuchana kuranda na kila kitu .....combined inauzwaje?? Picha tafadhali
Poa sana kiongoziHizi zote ni product zetu
Check hio kiongoziHapo karakana utahitaji ya kuchana,kuranda,kutoboa,kukereza,spindle na ya kutoboa mkuu hapo umemaliza weka mzigo tuu, hapo 20,000,000 nakutengenezea zote
Naunga mkono hoja, jamaa ana akili. Possibly hata products zake ni boraMiongoni mwa matangazo bora kabisa jf. Lina details zote na maswali yanajibiwa in detail and on time. Bro umewahi kuishi kwa walami huko?
Maana kiswahiliswahili watu wangeuliza hadi wachoke without any reply. Hongera sana.
Hakika mkuu mpaka sasa tuliwafanyia kazi wamekua na mrejesho mzuri na wamekua mabalozi wetu pia.Naunga mkono hoja, jamaa ana akili. Possibly hata products zake ni bora