INAUZWA Mashine ya kuchana mbao

INAUZWA Mashine ya kuchana mbao

Yes hii unatengeneza wewe zote ? Nikitaka kufungua karakana mbao nifanye kila kitu ......machine zipi ???
Hapo karakana utahitaji ya kuchana,kuranda,kutoboa,kukereza,spindle na ya kutoboa mkuu hapo umemaliza weka mzigo tuu, hapo 20,000,000 nakutengenezea zote
 
Miongoni mwa matangazo bora kabisa jf. Lina details zote na maswali yanajibiwa in detail and on time. Bro umewahi kuishi kwa walami huko?

Maana kiswahiliswahili watu wangeuliza hadi wachoke without any reply. Hongera sana.
 
Miongoni mwa matangazo bora kabisa jf. Lina details zote na maswali yanajibiwa in detail and on time. Bro umewahi kuishi kwa walami huko?

Maana kiswahiliswahili watu wangeuliza hadi wachoke without any reply. Hongera sana.
Asa nte broo
 
Inatumia umeme tu au na dizel/petrol?
Inategemea na mahitaji ya mtumiaji kwa hizi tunazotengeneza ni za umeme za mafuta itapanda sababu gharama injini ya mafuta ndio itapelekea gharama yake
 
Hivi ile set ya kuchana kuranda na kila kitu .....combined inauzwaje?? Picha tafadhali
Unaweza kua na mashine kama hizo?
Screenshot_20221201-130214.jpg
 
Hii
10,000,000/
Inachana
Inaranda
Inasafisha
Inatoboa
 

Attachments

  • Screenshot_20230105-101507_Instagram.jpg
    Screenshot_20230105-101507_Instagram.jpg
    92.4 KB · Views: 33
Hatua kwa hatua tutengeneza spindle mashine ina piga pannel za milango, inatoa ribet, ina chimba groove na inatoboa
20230214_184509.jpg
20230214_204643.jpg
20230214_204547.jpg
20230214_204533.jpg
20230214_184524.jpg
 
Project mpya hii ni mashine spindle
Inapiga pannel
inatoa ribeti
Inatoa groove
Inatoboa
 

Attachments

  • 20230216_191015.jpg
    20230216_191015.jpg
    848 KB · Views: 25
  • 20230216_190951.jpg
    20230216_190951.jpg
    1 MB · Views: 22
  • 20230216_191006.jpg
    20230216_191006.jpg
    905.5 KB · Views: 25
Miongoni mwa matangazo bora kabisa jf. Lina details zote na maswali yanajibiwa in detail and on time. Bro umewahi kuishi kwa walami huko?

Maana kiswahiliswahili watu wangeuliza hadi wachoke without any reply. Hongera sana.
Naunga mkono hoja, jamaa ana akili. Possibly hata products zake ni bora
 
Back
Top Bottom