Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 3,092
- 5,386
Nilipokuwa ziarani Morogoro nilijulishwa kuwa, hakuna mashine/gari au niseme kampuni hata moja iliyopo mjini Morogoro yenye gari la kuchimba visima
Nilichokikuta pale ni madalali ambao hupatana na mteja halafu wao huenda kukodisha mashine/gari la kuchimba huko DAR na hivyo kufanya bei ya kuchimba kisima MORO KUWA GHALI SANA. Niliona kama kitu cha ajabu mkoa mzima tena maarufu kukosa mashine ya kuchimba Visima?
Kama kutakuwa na kampuni au Gari ambalo lipo stationed Morogoro ambalo labla sikulifaham naomba kujulishwa
Nilichokikuta pale ni madalali ambao hupatana na mteja halafu wao huenda kukodisha mashine/gari la kuchimba huko DAR na hivyo kufanya bei ya kuchimba kisima MORO KUWA GHALI SANA. Niliona kama kitu cha ajabu mkoa mzima tena maarufu kukosa mashine ya kuchimba Visima?
Kama kutakuwa na kampuni au Gari ambalo lipo stationed Morogoro ambalo labla sikulifaham naomba kujulishwa