Mashine ya kukamulia Juice ya Miwa

Mashine ya kukamulia Juice ya Miwa

Wakuu,

Ninatafuta mashine ya kutengenezea juice ya miwa. Kama unafahamu inapatikana wapi nakuomba unielekeze. Preferably ndani ya mipaka ya Dar es Salaam.

Natanguliza shukrani.

Habari Mkuu.
Vipi ulifanikiwa??
 
f0ed0675ad88ce16745e64f8cfb821ca.jpg
made in india 0654567777
 
Wadau kwa wastani hii mashine ya kukamua juice ya miwa inauzwa Sh ngapi?
 
Wadau kwa wastani hii mashine ya kukamua juice ya miwa inauzwa Sh ngapi?
Inategemea mkuu, za mkono kuanzia laki mbili mpaka 5, za umeme kwa upande wa sido ni tsh 1m mpaka 1.5,zinazotoka nje ya nchi zinagharimu kuanzia 1.6 mpaka milion 8. Kazi kwako mkuu
 
Mkuu asante kwa Taarifa. Unaulizia kwa Dar naweza kupata Duka gani?
Au mpaka za kuagizia?
Nenda pale mobile plaza,jengo linalofuatia wanazo za kichina au hapa shekilango kwenye hayo maduka ya NSSf ingia ndani mle kuna kampuni inauza mashine za kila aina ikiwemo za miwa
 
Nenda pale mobile plaza,jengo linalofuatia wanazo za kichina au hapa shekilango kwenye hayo maduka ya NSSf ingia ndani mle kuna kampuni inauza mashine za kila aina ikiwemo za miwa

Mkuu Asante sana. Mungu akubariki.
 
Afikirie pia teknolojia nzuri na rahisi ya kusindika... vinginevyo juisi itageuka Kiroba Orijino...!!!
Hahaha juice ya miwa ni nzuri pale inapotengenezwa hapo hapo na kunywewa hapo hapo
 
Inategemea mkuu, za mkono kuanzia laki mbili mpaka 5, za umeme kwa upande wa sido ni tsh 1m mpaka 1.5,zinazotoka nje ya nchi zinagharimu kuanzia 1.6 mpaka milion 8. Kazi kwako mkuu
Shukrani sana kiongozi
 
Wakuu, watu wengi wamekuwa wakiziulizia mashine za miwa, mimi niliwahi kuzileta hizi kama picha zinavyoonesha. Hizi zinatumia umeme kidogo ,ni portable na ni modern na ni "roho ya paka" zinapiga mzigo balaa ila wateja wengi wa kitanzania wanapenda vitu vya bei rahisi. ZILINISUMBUA SANA kuuza tena sana mpaka mwisho nikaziuza kwa bei ya hasara(nilirudisha hela yangu tu bila faida) tena hapa hapa jf. Walionunua hawajuti mpaka leo!
Watanzania wengi ukiwaambia bidhaa imetoka china basi anajua ni bei rahisi na atataka bei rahisi. Mashine ya kawaida kabisa SIDO wanauza mpaka 1.2 M na hazina ubora na uimara kama hizi. Bado mteja wa tanzania anakwambia akupe laki 4 kwa mashine hii uliyosafirisha!!! Daah!! Tena king'ang'anizi anakusumbua kweli!
Mimi naweza kumletea mtu mpka bongo lakini with condition kwamba anipe advance 1/2 ya gharama ndio nimletee! Otherwise sitaki headache kama ya wakati ule
Za mapambano je bado unaweza kuleta mashine za juice za miwa?
 
Back
Top Bottom