Mashine ya kukamulia Juice ya Miwa

Mashine ya kukamulia Juice ya Miwa

Nikiitaji kutoka china moja kwa moja je ntawapataje mawakala wao kwa hapa tz,
 
Wakuu, watu wengi wamekuwa wakiziulizia mashine za miwa, mimi niliwahi kuzileta hizi kama picha zinavyoonesha. Hizi zinatumia umeme kidogo ,ni portable na ni modern na ni "roho ya paka" zinapiga mzigo balaa ila wateja wengi wa kitanzania wanapenda vitu vya bei rahisi. ZILINISUMBUA SANA kuuza tena sana mpaka mwisho nikaziuza kwa bei ya hasara(nilirudisha hela yangu tu bila faida) tena hapa hapa jf. Walionunua hawajuti mpaka leo!
Watanzania wengi ukiwaambia bidhaa imetoka china basi anajua ni bei rahisi na atataka bei rahisi. Mashine ya kawaida kabisa SIDO wanauza mpaka 1.2 M na hazina ubora na uimara kama hizi. Bado mteja wa tanzania anakwambia akupe laki 4 kwa mashine hii uliyosafirisha!!! Daah!! Tena king'ang'anizi anakusumbua kweli!
Mimi naweza kumletea mtu mpka bongo lakini with condition kwamba anipe advance 1/2 ya gharama ndio nimletee! Otherwise sitaki headache kama ya wakati ule
 

Attachments

  • 1439124524192.jpg
    1439124524192.jpg
    58.3 KB · Views: 404
  • 1439124566194.jpg
    1439124566194.jpg
    53.4 KB · Views: 335
Kama uwa unaenda china naomba ulizia bei ya conveyor na elevator
 
MONALISA Niambie inacoast sh.mwenye nimehamasika.
 
Wakuu, watu wengi wamekuwa wakiziulizia mashine za miwa, mimi niliwahi kuzileta hizi kama picha zinavyoonesha. Hizi zinatumia umeme kidogo ,ni portable na ni modern na ni "roho ya paka" zinapiga mzigo balaa ila wateja wengi wa kitanzania wanapenda vitu vya bei rahisi. ZILINISUMBUA SANA kuuza tena sana mpaka mwisho nikaziuza kwa bei ya hasara(nilirudisha hela yangu tu bila faida) tena hapa hapa jf. Walionunua hawajuti mpaka leo!
Watanzania wengi ukiwaambia bidhaa imetoka china basi anajua ni bei rahisi na atataka bei rahisi. Mashine ya kawaida kabisa SIDO wanauza mpaka 1.2 M na hazina ubora na uimara kama hizi. Bado mteja wa tanzania anakwambia akupe laki 4 kwa mashine hii uliyosafirisha!!! Daah!! Tena king'ang'anizi anakusumbua kweli!
Mimi naweza kumletea mtu mpka bongo lakini with condition kwamba anipe advance 1/2 ya gharama ndio nimletee! Otherwise sitaki headache kama ya wakati ule

naomba unitumie bei zake ikoje pamoja na specification zake
 
Back
Top Bottom