Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
madhara ya ganji hayoSasa huyo dereva wa kivuko kwa nini aiamua kuondoa meli ili machine idumbukie kabisa?
tena uzembe mkubwa ovyo sana..Naona kuna uzembe hapo
Kwa nini wameshusha kuelekea majini, ina maana kuna uhaba wa nchi kavu hapo? hao washushaji wanazo akili timamu? utasikia wanasema ilikuwa bahati mbaya.......ingekuwa china hujapigwa kitanzi?
Basi tusema ajali ya kawaida kama ilivyotokea kwny Luku kwa siku 3Kwaiyo wakati wa utawala wa dikteta zuzu kulikuwa hakuna majanga yaliyokuwa yanatokea chizi wewe,,
Ivi dikteta ameshika akili zenu,,
Ile ajali ya Roli la mafuta morogoro lilitokea wakati wa awamu ya bwana ako au????? M))theng___e. (wewe)
Mimi nime-mute sauti. Siwezi kusikiliza ujinga kama huo. Mtu anaongea kama hana meno na ulimi kwa pamoja?Bahalini.. mtangazaji ana shida ya matamshi ya L na R halafu wanaongezeka sana watu wenye hii shida.
kwanni isiwe kwenye kuadimika kwa sukari hadi ikawa inatafutwa kwa tochi na mabunduki kwenye magodown ya wafanyabiashara, na baada ya hapo ikapanda bei hadi leo,kutoka #Tsh.1800/= hadi Tsh.2900/=✓ kwasasa??!!Basi tusema ajali ya kawaida kama ilivyotokea kwny Luku kwa siku 3
Acha majungu kwa Rais,Matusi ya nini Mkuu, kuwa na mawazo tofauti ni jambo la kawaida sana, Wewe ukihisi ajali ya kawaida na Mimi nikihisi ni hujuma ni utofauti wa mawazo tu, huna haja ya matusi wala kashfa!
Hali ya kutukana tukana au kuwa na ghadhabu zisizo na mashiko ni dalili kubwa ya Msongo wa mawazo!
Leta ushahidi wako..hujma hii....kanisa....sukuma gang at work.....
kilichonifurahisha ni chanzo cha taarifaView attachment 1797848
Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) inaujulisha Umma kuwa, Jumapili tarehe 23 Mei 2021, Majira ya saa 8 Mchana katika Bandari ya Dar es Salaam, mashine ya kunyanyua vitu vizito (crane) iliyokuwa ikishushwa kutoka kwenye meli ya LCT AJE 1 ilipata ajali ya kutumbukia baharini.
Mashine hiyo yenye uzito wa takribani tani 70 iliwasili kwa meli katika Bandari ya Dar es Salaam ikitokea visiwa vya Songosongo na ilikuwa ikishushwa katika eneo la Gati la Malindi. Zoezi la kuiopoa mashine hiyo linaendelea.
View attachment 1797847
Credit: Le Mutuz TV
same 2 meIyo attachmnt mna funguaje mbona kwangu hazi funguki.niki tap ina nipeleka kweny font ya Jf