Mashine ya kunyanyua vitu vizito (crane) bandarini Dar Es Salaam yatumbukia baharini

Mbona sasa umeweza kuandika sentensi kadhaa za mawazo yako bila ya kutukana?

Achana na tabia ya kutukana maana haithibitishi ujanja ulionao wala msimamo thabiti kwa Rais,

Rais mwenyewe ana incourage mawazo huru sasa Wewe unakuaje Mfuasi wake halafu hukubali msimamo wake?

Waachie hiyo tabia watu wa Instagram na Facebook

Humu tunapingana kwa lugha ya kistaarabu na tukishindwana tunabaki na msinamo wake kila mtu
 
hujuma tena. naona mambo yameanza kufanyika kiholela holela au ni kwamba taarifa za mambo kama haya zilikuwa zinafichwa?
 
Kuna kilaza alisahau madesa ya equilibrium ya form one.
 
Hawa wamechoka na kazi wanalipwa mishahara ya bure wapishe watu wenye uwezo
 
Hujuma ya wazi kabisa. Mama Samia ana kazi sana bila kupangusa kabisa wale wa Mwendazake ataonekana hatoshi kwenye hicho cheo
Mama Samia mwenyewe ni wa mwendazake
 
Tunataka mhusik mkuu ajiuzulu, asisubiri kuondolewa.
 
Ngozi nyeusi tuna matatizo sana chief
 
Mama anazidi 'kukaribishwa' mjini

Tumetoka kwny Luku, tukapitie kwny mfumo wa malipo siku mbili tatu, tukapumzika kwny uvamizi na Ujambazi sasa hivi tupo bandarini 'tunalowanisha' vitendea kazi!

Karibu Nyumbani kumenoga!
Na kumenoga haswaaah lol

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Tumbukizeni zote Dili tuwape tenda kampuni binafsi
 
Hujuma ya wazi kabisa. Mama Samia ana kazi sana bila kupangusa kabisa wale wa Mwendazake ataonekana hatoshi kwenye hicho cheo
vitu vingine ni ajali tu za kawaida nadhani, Wala Haina haja kutimua watu kazi mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…