Habari zenu wana JF!
Kuna kitu kinanitatiza mpaka nashindwa kuelewa nini hasa kinanisibu! kwa kawaida ninavojua mimi mwanaume yeyote akiamka asubuhi uume huwa unasimama, sasa mimi hata nikiwa nimebanwa na haja ndogo bado inakuwa imelala! What should I do Jf members? Ila ikifika maswala fulani inasimama kama kawaida! Nisaidieni please.
Je ni kawaida isiposimama asubuhi?
Kuna kitu kinanitatiza mpaka nashindwa kuelewa nini hasa kinanisibu! kwa kawaida ninavojua mimi mwanaume yeyote akiamka asubuhi uume huwa unasimama, sasa mimi hata nikiwa nimebanwa na haja ndogo bado inakuwa imelala! What should I do Jf members? Ila ikifika maswala fulani inasimama kama kawaida! Nisaidieni please.
Je ni kawaida isiposimama asubuhi?