NAJIDAKIA STORE
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 261
- 125
Mkuu mwenzio amezipata mashine kushare nawe imekuwa nongwa? mjasiriamali hajiulizi sana maswali ni action tuDaaah..!! kwer Jf n msitu mkubwa sijui kwa uko kwenu uku kwetu vifurush hua tunanunua na kutumua kwa njia ya simu kupitia mawakala mfno kifulush cha halichach tigo au saiz yako unatumaje kwa njia ya gar kikufikie kwenye simu au umemoka sigara bubu ndugu
Hilo sio lako ni la uongozi nipo verified ofisi najidakia storemultiple IDs syndrome?
Mkuu naamini bado inafurahia mashine zako karibu kwa mashine zaidiHiyo "nasikia" kwanini usiende kwa muuza juisi ukaone jinsi mtambo huo unavyofanya kazi? Muwa unapta mara moja tu hakuna kuruia, inachuja yenyewe....kapi linalotoka unaweza kupiga kiberiti likawaka maana inakamua hakuna kubakiza hata tone la juisi maana muwa unapita kwenye roller 3 wakati hizi made in Sido niroller mbili.
Hapa jijini MWanza ni mimi tu mwenye mashine hizi maana hap kijiweni kwangu limegeuga banda la maonyesho ya saba saba! Asante JF maana ni hapa nilipojifunza juu ya mashine zenye roller 3
Pata mashine ya juisi ya miwaPicha mbona ni ile ile toka kitambo? weka pcha nyingine inayoonyesha upande mwingine
Mbao za Mawe na Viatu vya samaki hizi ID zinatumika na MTU mmoja?Wewe unasoma leo baada ya yeye kuweka bei! Mimi ameweka tu tangazo naliona na halina bei hadi alipoedit.
Ni ID moja.Mbao za Mawe na Viatu vya samaki hizi ID zinatumika na MTU mmoja?
Ni ID moja.
!!!! R
Za mafuta tutakutengenezea mkuu millioni moja na laki tano tu
Nilitaka nijue tu bei mkuu.Kwa sasa hali tete.Pakitulia nitakutafutaZa mafuta tutakutengenezea mkuu millioni moja na laki tano tu 0762612213
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu sana mkuu lolote 0659567058Nilitaka nijue tu bei mkuu.Kwa sasa hali tete.Pakitulia nitakutafuta