Mashine za juice ya miwa zinapatikana

Mashine za juice ya miwa zinapatikana

Daaah..!! kwer Jf n msitu mkubwa sijui kwa uko kwenu uku kwetu vifurush hua tunanunua na kutumua kwa njia ya simu kupitia mawakala mfno kifulush cha halichach tigo au saiz yako unatumaje kwa njia ya gar kikufikie kwenye simu au umemoka sigara bubu ndugu
Mkuu mwenzio amezipata mashine kushare nawe imekuwa nongwa? mjasiriamali hajiulizi sana maswali ni action tu
 
Hiyo "nasikia" kwanini usiende kwa muuza juisi ukaone jinsi mtambo huo unavyofanya kazi? Muwa unapta mara moja tu hakuna kuruia, inachuja yenyewe....kapi linalotoka unaweza kupiga kiberiti likawaka maana inakamua hakuna kubakiza hata tone la juisi maana muwa unapita kwenye roller 3 wakati hizi made in Sido niroller mbili.
Hapa jijini MWanza ni mimi tu mwenye mashine hizi maana hap kijiweni kwangu limegeuga banda la maonyesho ya saba saba! Asante JF maana ni hapa nilipojifunza juu ya mashine zenye roller 3
Mkuu naamini bado inafurahia mashine zako karibu kwa mashine zaidi
Bakery mashine zipo pia

Juice dispensers
Blenders
FB_IMG_1543347075031.jpeg
FB_IMG_1581510047709.jpeg
IMG-20200204-WA0000.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom