Acha kukariri bei imewekwa hapo unaiga watu wanasemaga weka bei na wewe unaandika bila kusomaWeka bei bas wengine tujithmini pm ya nn
Mbona hajasema mtu aende pm?Weka bei bas wengine tujithmini pm ya nn
Kutoa namba za cm inatosha kuwakilisha maongezi ya private, ni nžuri ila bei ingejitosheleza kwa mtu kujitathmini.Mbona hajasema mtu aende pm?
Kwenye hili kweli nilikuruuka ila hukupaswa kutoa povu kiasi chote icho km una stress somewhereAcha kukariri bei imewekwa hapo unaiga watu wanasemaga weka bei na wewe unaandika bila kusoma
Nisamehe nina frustrations zanguKwenye hili kweli nilikuruuka ila hukupaswa kutoa povu kiasi chote icho km una stress somewhere
Aliweka bei tangu mwanzoKutoa namba za cm inatosha kuwakilisha maongezi ya private, ni nžuri ila bei ingejitosheleza kwa mtu kujitathmini.