Mashine za kutotolesha mayai (Incubators): Upatikanaji wake, aina zake, matumizi na ushauri

Mashine za kutotolesha mayai (Incubators): Upatikanaji wake, aina zake, matumizi na ushauri

Kitu cha kufurahisha kuhusu hii mashine na ni ukweli ambayo wapaswa kuujua kabla ya kununua egg incubator yeyote.Gharama za Uendeshaji

Hiki ndio namaanisha, Mashine hii inatumia umeme wa 220-240V na Power consumption ya 200W
Kwa maana hiyo kwa masaa 24 inatumia unit 4.8 i.e. (200x24/1000= 4.8kWh) za umeme na kwa siku 21 za utotoleshwaji wa mayai itatumia umeme wa units: 4.8x21=100.8 ambazo ukizizidisha na bei ya unit moja say 310Tshs. Hivyo kwa mwezi utatumia umeme wa 31,250Tshs.

Nachotaka kuwaonyesha hapa ni kwamba, ukinunua mashine yenye uwezo sawa na huu lakini inatumia umeme say 600W(power sababu voltage itabakia 220-240) utalipia umeme wa 62,500Tshs zaidi, na ukitotolesha mara 15 kwa mwaka (365/21= 17 average) utatumia umeme wa 937,500Tshs kama hasara katika gharama za uendeshaji wa mashine.
 
1056 Eggs Incubator for sale Brand New!
Brand Name: JD
Chicken Egg Capacity (pcs): 1056
Control model: full automatic
Hatching rate: 96% +
Power: 200W
Warranty: 3 yrs

Characteristics:

Fully Automatic poultry egg incubator.

1,Micro-computer controlled on temperature and humidity;

2,Forced air circuit by 2 fans

3,Automatic egg turning, automatic alarm on temperature & humidity

Free Accessories:
* 1pc Temperature Heater
* 1pc Egg Tunning Motor
* 1pc Egg candel
* 1pc Humidity Heater
* 2pcs Limited Switch

Starting Price 3,999,000/= Tshs
Contacts for serious buyers : 0755-571604/0718-106434 Location: Dar es Salaam
Email: engowi12@gmail.com
 
Kitu cha kufurahisha kuhusu hii mashine na ni ukweli ambayo wapaswa kuujua kabla ya kununua egg incubator yeyote.Gharama za Uendeshaji

Hiki ndio namaanisha, Mashine hii inatumia umeme wa 220-240V na Power consumption ya 200W
Kwa maana hiyo kwa masaa 24 inatumia unit 4.8 i.e. (200x24/1000= 4.8kWh) za umeme na kwa siku 21 za utotoleshwaji wa mayai itatumia umeme wa units: 4.8x21=100.8 ambazo ukizizidisha na bei ya unit moja say 310Tshs. Hivyo kwa mwezi utatumia umeme wa 31,250Tshs.

Nachotaka kuwaonyesha hapa ni kwamba, ukinunua mashine yenye uwezo sawa na huu lakini inatumia umeme say 600W(power sababu voltage itabakia 220-240) utalipia umeme wa 62,500Tshs zaidi, na ukitotolesha mara 15 kwa mwaka (365/21= 17 average) utatumia umeme wa 937,500Tshs kama hasara katika gharama za uendeshaji wa mashine.

Fanya comparison na best decision. Welcome all
 
kuhusiana na hiyo kulipia bongo (ni kwa sababu kuna mtu mwingine anahitaji hizo incubetor, so wakati wa kumpakilizia naeza add extra one kwa ajili yake, asipokuja kuichukua still itaingia kwenye projrct ya huyo mtu mwingine ndo maana nimepma hiyo option ya kulipia bongo) ebwana kuhusu hiyo canon ir 2800, inaeza kupatikana, but nakushauri kama unahitaji huku inabidi ununue mpya manake used ya mchina ina mafamba ya kutosha tu unaeza tumia kwa mda mchache sana inaaanza kukusumbua (used ya mchina haina tofauti na used ya hapo bongo kwetu, huku wametuzidi tu utunzaji) otherways kama utataka used kutoka japan au uk, naeza kukupa conection na jamaa yuko bongo hapo anajua na kudeal na hizo mambo

mkuu namimi nikihitaji incubetor ya mayai 100 au pungufu kidogo inaweza kua sh.ngapi?
 
Mkuu umenifurahisha hapo pekundu!
vipi unaweza kunitafutia photocopy machine aina ya Canon IR 2800?? (samahani kwa kutoka nje ya mada)[/QUOTE
kuhusiana na hiyo kulipia bongo (ni kwa sababu kuna mtu mwingine anahitaji hizo incubetor, so wakati wa kumpakilizia naeza add extra one kwa ajili yake, asipokuja kuichukua still itaingia kwenye projrct ya huyo mtu mwingine ndo maana nimepma hiyo option ya kulipia bongo) ebwana kuhusu hiyo Canon IR 2800, inaeza kupatikana, but nakushauri kama unahitaji huku inabidi ununue mpya manake used ya mchina ina mafambaya kutosha tu unaeza tumia kwa mda mchache sana inaaanza kukusumbua (used ya mchina haina tofauti na used ya hapo bongo kwetu, huku wametuzidi tu utunzaji) otherways kama utataka used kutoka japan au uk, naeza kukupa conection na jamaa yuko bongo hapo anajua na kudeal na hizo mambo

MKUU NAMI PIA NAHITAJI YA MAYAI 100 AU PUNGUF KIDOGO, ITAKUA SH.NGAPI?
 
Incubator ya kuangulia vifaranga 600 used na mpya bei yake vipi naomba mchango wenu wana jf kwa wenye uzoefu ktk hilo na efficiency yake.

Tupe mrejesho mama maana nimeusoma uzi wako huu mwanzo_mwisho hakuna jibu hukupata kuhusu hitaji lako
 
Incubator inahitaji utalaamu mkubwa sana, si ishu ya mchezo unaweza kuja kujuta
 
Yes ni full automatic, unaset kiasi cha joto, unyevu na kugeuza / kuzungusha mayai yenyewe. Pia inatoa alarm kukiwa na tatizo.
 
Kitu cha kufurahisha kuhusu hii mashine na ni ukweli ambayo wapaswa kuujua kabla ya kununua egg incubator yeyote."Gharama za Uendeshaji"
Hiki ndio namaanisha, Mashine hii inatumia umeme wa 220-240V na Power consumption ya 200W
Kwa maana hiyo kwa masaa 24 inatumia unit 4.8 i.e. (200x24/1000= 4.8kWh) za umeme na kwa siku 21 za utotoleshwaji wa mayai itatumia umeme wa units: 4.8x21=100.8 ambazo ukizizidisha na bei ya unit moja say 310Tshs. Hivyo kwa mwezi utatumia umeme wa 31,250Tshs.
Nachotaka kuwaonyesha hapa ni kwamba, ukinunua mashine yenye uwezo sawa na huu lakini inatumia umeme say 600W(power sababu voltage itabakia 220-240) utalipia umeme wa 62,500Tshs zaidi, na ukitotolesha mara 15 kwa mwaka (365/21= 17 average) utatumia umeme wa 937,500Tshs kama hasara katika gharama za uendeshaji wa mashine.
Shukrani mkuu

Naona umetoa warranty na efficiency lakini hujasema kama hio 96% efficiency yake ni kwa muda wote wa mika mitatu au wa miaka yote mmana nachojua hizi mashine hasa zilizotengenezwa hapa Bongo zinaanza kupiga kazi vizuri, ila baada ya mwaka unakuta karibu nusu ya mayai hayatotoleshwi..

Swali la pili,vipi kuhusu nchi ilikotengenezwa, maana kuna informations nyingi humu ndani kuwa incubators nyingi znuri ni za kutoka China japo zina bei nafuu ila zinapiga kazi haswaaaa..
 
Mkuu Asigwa thanks 4ua comment.
Hii mashine inafanya kazi vizuri kwa efficiency ya zaidi ya 96% kwa life span ya miaka 8-10.

Ndani ya hiyo miaka 3 ya garantee, endapo kutakuwa na tatizo kwenye incubator, ushauri wa kitaalamu unatolewa. Pia mashine hii inatunza joto kwa masaa 5-6 mara baada ya umeme kukatika. Kuhusu ilipotengenezwa, imetengenezwa China siyo ya hapa tz.

Karibu kwa order mkuu
 
mkuu bei ya mwisho bei gani best
Kitu cha kufurahisha kuhusu hii mashine na ni ukweli ambayo wapaswa kuujua kabla ya kununua egg incubator yeyote."Gharama za Uendeshaji"
Hiki ndio namaanisha, Mashine hii inatumia umeme wa 220-240V na Power consumption ya 200W
Kwa maana hiyo kwa masaa 24 inatumia unit 4.8 i.e. (200x24/1000= 4.8kWh) za umeme na kwa siku 21 za utotoleshwaji wa mayai itatumia umeme wa units: 4.8x21=100.8 ambazo ukizizidisha na bei ya unit moja say 310Tshs. Hivyo kwa mwezi utatumia umeme wa 31,250Tshs.
Nachotaka kuwaonyesha hapa ni kwamba, ukinunua mashine yenye uwezo sawa na huu lakini inatumia umeme say 600W(power sababu voltage itabakia 220-240) utalipia umeme wa 62,500Tshs zaidi, na ukitotolesha mara 15 kwa mwaka (365/21= 17 average) utatumia umeme wa 937,500Tshs kama hasara katika gharama za uendeshaji wa mashine.
 
mkuu kama unataka kuagiza incubator china, naeza kukusaidia kwani mimi ni mtanzania nilieko china huku, kitu cha msingi nipe tu specification za incubator unayotaka, then ntakuangalizia gharama zake, then kuhusu kusafirish wala sio tabu (hutaangaika kuilipia bandarini) kwani ukishanunua CBM kwenye container itakayosafirisha (kwani inasafirishwa pamoja na vifaa vingine vya kibiashara), wewe ni kusubiria bongo tu na kuchukua mashine yako, na pia kuhusiana na malipo utailipia itakapofika bongo.

kweli,.fafanua uwezekano wa maneno hayo
 
naweza kurengeneza incubator ila vifaa kama digital hygrometer na thermostat sijui vinauzwa wapi kwa hapa bongo.msaada please.
 
Natamani kufuga kuku wa
kienyeji, shida yangu ni mashine ya kutotoleshea vifaranga itumiayo
mafuta ya taa. Zinapatikana wapi na kwa bei gani? Wadau nisaidieni ili
nami nijaribu kwenda sambamba na hii KASI ZAIDI

Naunda mashine za kutotoleshea mayai ya kuku zitumiazo mafuta ya taa;wasiliana nami kwa namba za simu 0784413039;ofisi ip ilala Dar es salaam;Njombe na Ruvuma.Incubator ni za uhakika kumsaidia mjasiliamali mfugaji.
 
Natamani kufuga kuku wa
kienyeji, shida yangu ni mashine ya kutotoleshea vifaranga itumiayo
mafuta ya taa. Zinapatikana wapi na kwa bei gani? Wadau nisaidieni ili
nami nijaribu kwenda sambamba na hii KASI ZAIDI

malamsha shao;5492005]Incubator ya
kuangulia vifaranga 600 used na mpya bei yake vipi naomba mchango wenu
wana jf kwa wenye uzoefu ktk hilo na efficiency yake.[/QUOTE]
Wasiliana nami kwa aina zote za incubator.

Huyo jamaa anaesema incubator za Tanzania hazifai;sio mkweli kabisa;kwanza anadharau bidhaa za wazawa bila kufanya tafiti nyingi.
WASILIANA NAMI KWANI NINATENGENEZA NA KUUNDA INCUBATOR ZA KILA NAMNA.SIMU 0784413039;E MAIL:mwakalingaeli@gmail.com
 
Habari zenu wanajamvini,

Mimi ni mfugaji mdogo wa kuku, sasa kidogo biashara yangu imepanuka, nahitaji mashine ndogo ya kutotoleshea vifaranga.

Naomba mnisaidie bei na mahali zinapopatikana, nitashukuru kwa msaada wenu.


Mimi ni mtaalamu wa kuunda incubator za kutotoleshea mayai ya kuku;pia ninatoa elimu namna ya kuitumia na namna ya kuchagua mayai;na namna ya ufugaji kuku.
Wasiliana nami kwa namba 0784413039.
E mail:mwakalingaeli@gmail.com.

Epuka na habari za uongo kuwa incubator tunazotengeneza wa Tanzania ni pasua kichwa;huyo hajafanya utafiti;nunua incubator kwangu;isipototoa nitakurudishia pesa zako.
Habari zenu wanajamvini,

Mimi ni mfugaji mdogo wa kuku, sasa kidogo biashara yangu imepanuka, nahitaji mashine ndogo ya kutotoleshea vifaranga.

Naomba mnisaidie bei na mahali zinapopatikana, nitashukuru kwa msaada wenu.
 
Habari zenu wanajamvini,

Mimi ni mfugaji mdogo wa kuku, sasa kidogo biashara yangu imepanuka, nahitaji mashine ndogo ya kutotoleshea vifaranga.

Naomba mnisaidie bei na mahali zinapopatikana, nitashukuru kwa msaada wenu.

Naunda incubator zinozotumia mafuta ya taa au umeme;wasiliana nami kwa simu namba 0784413039.
Nipo ILALA DAR ES SALAAM.
MWL.ELIASANTE.
 
Cheki na SIDO makao makuu
pale Upanga watakupa ushauri mzuri tu. Pia kwenye maduka ya kuuza
vyakula vya mifugo. Pale Mbezi Luis mwisho niliziona.. kila la
kheri!

ELIMU JUU YA UCHAGUZI WA MASHINE BORA YA KUTOTOLESHEA MAYAI YA KUKU(INCUBATOR).

Ni watu wengi wanaohitaji kufuga kuku na kuwa na kipato zaidi kwa kumiliki mashine zao wenyewe za kutotolesha mayai ya kuku.Lakini baadhi yao hukatishwa tamaa na baadhi ya watu ambao hawajui kuwapa ushauri mzuri juu ya uchaguzi wa mashine na jinsi ya kuitumia.

Kwa kawaida tunasema kama mashine ina trei tano za mayai;kila trei imetoa kifaranga kimoja;hilo ni kosa la mtumiaji wa mashine;ila mashine haina kasoro.

Mayai yanayowekwa ktk mashine yanatakiwa yasiwe yamekaa zaidi ya siku saba tangu kutagwa;yawe safi;yasitikiswe wala kunyanyuliwa kwa vidole wakati wa kugeuza.

Joto la mashine lisishuke nyuzi joto 38'c.geuza mayai kila baada ya masaa nane;hakikisha kuna maji safi ktk mashine na hewa safi.Geuza mayai mpaka siku ya 18;basi.

Ukifuata masharti hayo na mengine; utaifurahia mashine yako.
Wasiliana nasi:
Dsm 0784413039;Njombe 0787150720;Ruvuma 0784480931;KWA INCUBATOR BORA ZENYE UHAKIKA.
 
hiyo ya mayai miamoja ni shilingi ngapi?maana huyu bwana kanigusa mimi pia nimufugaji wa bata.

ELIMU JUU YA UCHAGUZI WA MASHINE BORA YA KUTOTOLESHEA MAYAI YA KUKU(INCUBATOR).

Ni watu wengi wanaohitaji kufuga kuku na kuwa na kipato zaidi kwa kumiliki mashine zao wenyewe za kutotolesha mayai ya kuku.Lakini baadhi yao hukatishwa tamaa na baadhi ya watu ambao hawajui kuwapa ushauri mzuri juu ya uchaguzi wa mashine na jinsi ya kuitumia.
Kwa kawaida tunasema kama mashine ina trei tano za mayai;kila trei imetoa kifaranga kimoja;hilo ni kosa la mtumiaji wa mashine;ila mashine haina kasoro.
Mayai yanayowekwa ktk mashine yanatakiwa yasiwe yamekaa zaidi ya siku saba tangu kutagwa;yawe safi;yasitikiswe wala kunyanyuliwa kwa vidole wakati wa kugeuza.Joto la mashine lisishuke nyuzi joto 38'c.geuza mayai kila baada ya masaa nane;hakikisha kuna maji safi ktk mashine na hewa safi.Geuza mayai mpaka siku ya 18;basi.
Ukifuata masharti hayo na mengine;utaifurahia mashine yako.
Wasiliana nasi:
Dsm 0784413039;Njombe 0787150720;Ruvuma 0784480931;KWA INCUBATOR BORA ZENYE UHAKIKA.
 
Back
Top Bottom