Mashine za Uwakala za NMB ni ghali sana halafu ni shida mno kuzipata

Kila bank inajifanya inataka kuhamia mobile app, hizo mobile apps watafanya transactions na ndugu zao. Watanzania hawataki huo ujinga.
 
Hivi POS kama hizo za NMB na CRDB pamoja na line za uwakala wa miamala ya mitandao ya simu kama zinatumika mkoa fulani inakubalika kuzihamishia mkoa mwingine tofauti na mji/mkoa ulipofanyikia usajili wake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…