Ndio maana mnaitwa
pumbavu stupid tatizo ni kujifanya kujua kwingi na mnajifanya mmesoma sana mwisho mnaboronga na kuibia watu, eti utengeneze kwa 1,000,000 alafu uuze kwa 700,000 una akili wewe? kilaza unaejifanya umesoma umesoma umesomea nini kuingia hasara ndio ulichosomea?
Alafu eti ulivyo zuzu eti unauliza 300,000 imeenda wapi ndio mnavyofundishwa huko jinsi ya kujitetea wizi wenu muwe mnajitetea hivyo?
Pumbavu stupid haiwezekani wizi wa namna hii hatuutaki hata mtoto wa darasa la pili anakushtukia huwezi ukaniambia unatengeneza kwa 1,000,000 alafu eti unasema ukauza kwa 700,000 afu nikakuchekea umepoteza 300,000 kwa kuila na zingine umekula wewe ni
mwizi tu km wezi wengine mwizi mkubwa inabidi uchunguzwe na
TAKUKURU TZ