Mashirika 26 ya Kenya mbioni kuuzwa kwa Wachina ili kulipia madeni. Zimo Bandari zote, Benki na Viwanda vya saruji.

hapo tu ndo panafanya nimuelewe mr jiwe
 
Sio hivyo tu mombasa wanaume wameolewa na wachina [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
To my Kenyan brothers and sisters the person who has initiated this thread is a person used by the notorious security personnel of Tanzania
A semi educated former news caster is used as a mouth piece by Tz paranoid security organization
Read between the lines to understand why the ruler of Tz is still upset by the Odinga defeat
 
Dah hizi dharau
 
Unajua mikataba 16 ya siri aliyoingia na JK na wachina? Unajua kwanini Magu hahangaiki na gas? Subir siku unakabidhiwa kwa basha wa kichina utajua mkufunge ndoa kwa Bashite au chattle.

Haya ni Maneno ya Vijiweni. Utaratibu wa mafuta na gesi mbona upo wazi kabisa tu hayo makubaliano ya JK na wachina yanakujaje? huo mkataba amesaini nani?

Tusipotoshane wandugu Kuendesha nchi ni kama kazi nyingine kwahiyo lazima iambatane na changa moto Tena changamoto zake naona ni nyingi zaidi ya kazi zingine.

shida ya raia ni kukubaliana na falsafa ya kiongozi husika kwasababu mara nyingi falsafa hizo haziwezi kuwa na mapokeo sawa kwa kila raia kuna wengine wataumia na wengine watafaidika Tatizo linakuja pale wanapoumia ni wengi kuliko wanaofaidika.

Nafikiri hata sie leo tukisema tunaenda kukopa kwa wachina lazima haya yaliyowatokea wenzetu walioshindwa kulipa yazingatiwe.
 

Unafananisha mtoto aliyezaliwa na mimba? Hiyo ya Kenya iko kazini wakati ya Tz iko kwenye ujenzi.
 
Kazi inaendelea tena kwa kasi kubwa. SGR kutoka Dar - Morogoro ilikuwa ifunguliwe Mwezi Juni 2019, sasa imerudishwa nyuma itakuwa Mwezi April.

Kwa kusuasua kwenu na madeni kibao yanayowazunguka, mmejiaibisha sana kwa just hindwa kujenga kipande cha reli yenu kutoka Kisumu - Malaba na badala yake mnataka Uganda ndiye aingie gharama za ujenzi ndani ya Nchi yenu.
Na mbaya zaidi Rwanda kawatosa baada ya kuwaona hamna swagger kama za Magufuli na Tanzania. Uganda wanatamani wangekuwa karibu na Tanzania kimiundombinu kwani wanawaona nyie kama mbambwela mbwela tu.

Wachina nao wamewashit baada ya kuona jinsi msivyo serious. Kwetu Wachina walijidai kuturingia, tukaanza ujenzi na leo wao ndio wamejileta tena wenyewe.

Ahahhhhh😀😀😀, In Magufuli we ...
 
onyesha evidence google inasema no link to be shown.. hehehehe

pesa ilimalizwa na cashew nuts...



Right now
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…