Mashirika na Taasisi za Umma zinazostahili kufutwa na zile zinazostahili kuunganishwa

Mashirika na Taasisi za Umma zinazostahili kufutwa na zile zinazostahili kuunganishwa

NUKUU.
iv: Mageuzi katika utendaji na uendeshaji wa mashirika ya Umma ni zoezi endelevu. Serikali itaendelea kuimarisha mifumo ya kupima na kutathmini utendaji wa Mamlaka na Taasisi za Umma kwa lengo la kuongeza tija katika Maendeleo ya nchi...

Kwa muktadha huo hapo juu, nawiwa na shauku ya kushauri yafuatayo;

# EWURA iunganishwe TPDC.

# Tanzania Fertilizer Co. Iunganishwe na Tanzania Seed Agency.

# Bodi za Mazao zote zingekuwa kwenye wakala/ bodi moja.

# VETA unga na SIDO.

# Mzinga Cooperation iungwe Suma Jkt Construction co.

# Futa RUWASA imarisha Mamlaka za Maji za Maeneo husika.

# TEMESA na TBA zirudi kama zilivyokuwa mwanzo au Masuala ya umeme kwenye majumba ikarudishwa TBA, Masuala ya mategenezo ya magari ya serikali yakapelekwa Government Transport Agency na majukumu ya vivuko na uwekaji wa taa za barabarani yakahamishiwa TANROADS hivyo kuifuta kabisa TEMESA.

# Mamlaka za Mabonde ya Maji/ Mito ziwe chini ya RUWASA kama itaendelea kuwepo.

# NHC iungwe na TBA na Watumishi Housing.

# COASCO ivunjwe na kazi zake pamoja na watumishi wake waende kwa CAG...Vyama vya Ushirika vikaguliwe kama zilivyo taasisi zingine.

# Mamlaka ya Usimamizi wa Nafaka na Mazao Mengine iunganishwe na Wakala wa Taifa wa Uhifadhi wa Chakula.

# Tanzania Airport Authority unga na Tanzania Civil Aviation Authority.
 
Naomba tuwe serious, Kama unapenda utani nenda jukwaa la jokes .

Viongozi wa serikali wapo hum Na zipo shuhuda kadhaa zinazoonyesha huwa wanapitiapitia hum kupata ABC sasa sio busara kuleta utani kwenye nyuzi Kama hizi.
 
NUKUU.
4: Mageuzi katika utendaji na uendeshaji wa mashirika ya Umma ni zoezi endelevu. Serikali itaendelea kuimarisha mifumo ya kupima na kutathmini utendaji wa Mamlaka na Taasisi za Umma kwa lengo la kuongeza tija katika Maendeleo ya nchi...

Kwa muktadha huo hapo juu, nawiwa na shauku ya kushauri yafuatayo;

# EWURA iunganishwe TPDC.
# Tanzania Fertilizer Co. Iunganishwe na Tanzania Seed Agency.
# Bodi za Mazao zote zingekuwa kwenye wakala/ bodi moja.
# AICC na Tanzania Tourism Board ziungwe
# VETA unga na SIDO.
# Mzinga Cooperation iwe Suma Jkt Construction co.
# Futa RUWASA imarisha Mamlaka za Maji za Maeneo husika.
# TEMESA na TBA zirudi kama zilivyokuwa mwanzo.
# Mamlaka za Mabonde ya Maji/ Mito ziwe chini ya RUWASA kama itaendelea kuwepo.
# NHC iungwe na TBA.
# COASCO ivunjwe na kazi zake pamoja na watumishi wake waende kwa CAG...Vyama vya Ushirika vikaguliwe kama zilivyo taasisi zingine.
# Mamlaka ya Usimamizi wa Nafaka na Mazao Mengine iunganishwe na Wakala wa Taifa wa Uhifadhi wa Chakula.
Umenena vema sana kiongozi.
 
Back
Top Bottom